< Zaburi 111 >
1 Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
Renderò grazie al Signore con tutto il cuore, nel consesso dei giusti e nell'assemblea. Alleluia.
2 Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
Grandi le opere del Signore, le contemplino coloro che le amano.
3 Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
Le sue opere sono splendore di bellezza, la sua giustizia dura per sempre.
4 Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
Ha lasciato un ricordo dei suoi prodigi: pietà e tenerezza è il Signore.
5 Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
Egli dà il cibo a chi lo teme, si ricorda sempre della sua alleanza.
6 Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
Mostrò al suo popolo la potenza delle sue opere, gli diede l'eredità delle genti.
7 Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
Le opere delle sue mani sono verità e giustizia, stabili sono tutti i suoi comandi,
8 Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
immutabili nei secoli, per sempre, eseguiti con fedeltà e rettitudine.
9 Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
Mandò a liberare il suo popolo, stabilì la sua alleanza per sempre.
10 Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.
Santo e terribile il suo nome. Principio della saggezza è il timore del Signore, saggio è colui che gli è fedele; la lode del Signore è senza fine.