< Zaburi 111 >

1 Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
Hina Godema nodoma! Na asigi dawa: su huluane amoga, na da dunu ilia gilisisu ganodini, Hina Godema nodone sia: mu.
2 Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
Hina Gode Ea hamobe da noga: idafa. Dunu huluane ilia da Ea hamonanebe hahawane ba: sa, ilia da amo hou dawa: digimusa: hanai gala.
3 Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
Ea hamobe huluane da hadigidafa amola noga: idafa. Ea moloidafa hou da eso huluane mae fisili, dialalalumu.
4 Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
Hina Gode da Ea noga: idafa hou, ninia mae gogolema: ne, hamosa. Ea hou da asigidafa amola E da gogolema: ne olofosu dawa:
5 Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
E da nowa dunu da Ema nodone dawa: lalebe, ilima ha: i manu iaha. E da Ea gousa: su ninima hamoi, amo hamedafa gogolesa.
6 Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
E da ga fi dunu ilia soge samogene, Ea fi dunuma iabeba: le, Ea gasa bagade hou ilima olelei dagoi.
7 Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
Ea hamobe huluane amo ganodini, E da mae afadenene moloidafa fawane hamosa. Amola Ea hamoma: ne sia: be da hamedafa afadenesa.
8 Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
Hina Gode da dafawane amola moloidafa agoane, Ea sema ninima i. Ea hamoma: ne sia: i liligi da eso huluane dialumu.
9 Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
E da Ea fi dunu halegale masa: ne, ilia se iasu diasu logo doasi dogoi. E da ilima eso huluane dialumu gousa: su hamoi. E da hadigidafa amola gasa bagade gala.
10 Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.
Dilia asigi dawa: su bagade lamusa: dawa: sea, Hina Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma. E da nowa: dunuma Ea hamoma: ne sia: i amo nabawane hamosea, hou eno da noga: i, amola eno da wadela: i amo dawa: digima: ne, dawa: su iaha. Eso huluane mae fisili, Ema nodonanumu da defea.

< Zaburi 111 >