< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
[Von David. Ein Psalm.] Jehova sprach [Eig. Spruch Jahs] zu meinem Herrn: Setze dich zu meiner Rechten, bis ich deine Feinde lege zum Schemel deiner Füße!
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
Den Stab deiner Macht wird Jehova aus Zion senden; [O. weithin strecken] herrsche inmitten deiner Feinde!
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
Dein Volk wird voller Willigkeit sein am Tage deiner Macht; [O. deines Heerzuges] in heiliger Pracht, aus dem Schoße der Morgenröte wird dir der Tau deiner Jugend [d. h. deiner jungen Manschaft] kommen.
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
Geschworen hat Jehova, und es wird ihn nicht gereuen: "Du bist Priester in Ewigkeit nach der Weise Melchisedeks!"
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
Der Herr zu deiner Rechten zerschmettert Könige am Tage seines Zornes.
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
Er wird richten unter den Nationen, er füllt alles mit [O. voll ist es von] Leichen; das Haupt über ein großes Land zerschmettert er.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
Auf dem Wege wird er trinken aus dem Bache, [O. Aus dem Bache am Wege usw.] darum wird er das Haupt erheben.

< Zaburi 110 >