< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
Yahweh said to my lord [the king], “Sit [here], close to me, in the place of highest honor [MTY] until I [completely defeat] your enemies [MET] [and] make [them like] a stool for your feet!”
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
Yahweh [also said to him], “I will extend your power as king from Jerusalem [to other lands]; you will rule over all your enemies.
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
On the day that you lead your armies into battle, many of your people will volunteer [to join your army]. Like the dew refreshes the earth early in the morning, young men will [encourage you by] coming to help you.”
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
Yahweh has made a solemn promise, and he will never change his mind; he has said to the king, “You will be a priest forever [serving Yahweh] like Melchizedek did.”
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
Yahweh stands [in the place of highest honor] your right side; when he becomes angry, he will defeat [many kings].
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
He will judge and punish the people of [many] nations; he will fill the land with their corpses. He will crush the heads of other kings all over the earth.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
But my lord the king will drink from streams near the road; he will be refreshed after defeating his enemies.

< Zaburi 110 >