< Zaburi 110 >

1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
A PSALM OF DAVID. A declaration of YHWH to my Lord: “Sit at My right hand, Until I make Your enemies Your footstool.”
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
YHWH sends the rod of Your strength from Zion, Rule in the midst of Your enemies.
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
Your people [are] free-will gifts in the day of Your strength, in the honors of holiness, From the womb, from the morning, You have the dew of Your youth.
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
YHWH has sworn, and does not relent, “You [are] a priest for all time, According to the order of Melchizedek.”
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
The Lord on Your right hand struck kings In the day of His anger.
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
He judges among the nations, He has completed the carcasses, Has struck the head over the mighty earth.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
He drinks from a brook in the way, Therefore He lifts up the head!

< Zaburi 110 >