< Zaburi 110 >
1 Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
“By David, a psalm.” The Eternal saith unto my Lord, Sit thou at my right hand, until I place thy enemies as a stool for thy feet.
2 Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
The staff of thy strength will the Eternal stretch forth out of Zion: rule thou in the midst of thy enemies.
3 Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
Thy people will bring freewill-gifts on the day of thy power, in the ornaments of holiness: as out of the bosom of the morning-dawn so is thine the dew of thy youth.
4 Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
The Lord hath sworn, and will not repent of it, Thou shalt be a priest for ever after the order of Malki-zedek.
5 Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
The Lord at thy right hand crusheth kings on the day of his wrath.
6 Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
He will judge among the nations—there shall be a fulness of corpses—he crusheth heads on a wide-spread land.
7 Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.
From the brook will he drink on the way: therefore will he lift up the head.