< Zaburi 11 >
1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
No Senhor confio; como dizeis á minha alma: Foge para a vossa montanha como passaro?
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
Pois eis que os impios armam o arco, põem as frechas na corda, para com ellas atirarem ás escuras aos rectos de coração.
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
Na verdade que já os fundamentos se transtornam: o que pode fazer o justo?
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
O Senhor está no seu sancto templo: o throno do Senhor está nos céus; os seus olhos attendem, e as suas palpebras provam os filhos dos homens.
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
O Senhor prova ao justo; porém ao impio e ao que ama a violencia aborrece a sua alma.
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
Sobre os impios fará chover laços, fogo, enxofre e vento tempestuoso: isto será a porção do seu copo
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
Porque o Senhor é justo, e ama a justiça; o seu rosto olha para os rectos.