< Zaburi 11 >
1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
Salmo di Davide, [dato] al Capo de' Musici IO mi confido nel Signore; Come dite voi all'anima mia: Fuggite al vostro monte, [come] un uccelletto?
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
Certo, ecco gli empi hanno teso l'arco, Hanno accoccate le lor saette in su la corda, Per tirar[le] contro a' diritti di cuore, in luogo scuro.
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
Quando i fondamenti son ruinati, Che ha fatto il giusto?
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
Il Signore [è] nel Tempio della sua santità; Il trono del Signore [è] ne' cieli; I suoi occhi veggono, Le sue palpebre esaminano i figliuoli degli uomini.
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
Il Signore esamina il giusto, e l'empio; E l'anima sua odia colui che ama la violenza.
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
Egli farà piovere in su gli empi Brace, e fuoco, e solfo, E vento tempestoso, per la porzione del lor calice.
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
Perciocchè il Signore [è] giusto; egli ama la giustizia; La sua faccia riguarda l'[uomo] diritto.