< Zaburi 11 >

1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
Agkamangak kenni Yahweh; apay a kunaem kaniak, “Tumayabka a kasla billit nga agturong iti bantay”?
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
Ta kitaem! Insagana dagiti nadangkes dagiti panada. Iti kasipngetan, isaganada nga ibiat dagiti panada a mangipuntiria kadagiti nalinteg ti pusona.
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
Ta no nadadael dagiti pundasion, anianto ti maaramidan dagiti nalinteg?
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
Adda ni Yahweh iti nasantoan a templona; kumitkita dagiti matana, suksukimaten dagiti matana dagiti annak dagiti tattao.
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
Agpada a suksukimaten ni Yahweh dagiti nalinteg ken dagiti nadangkes, ngem kagurgurana dagiti mangay-ayat nga agaramid iti kinaranggas.
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
Pagtudoenna iti dumardarang a beggang ken asufre kadagiti nadangkes; maysanto a makasinit nga angin ti pasetda iti kopana!
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
Ta nalinteg ni Yahweh, ken ay-ayatenna ti kinalinteg; makitanto dagiti nalinteg ti rupana.

< Zaburi 11 >