< Zaburi 11 >
1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
In the LORD put I my trust: how say you to my soul, Flee as a bird to your mountain?
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
For, see, the wicked bend their bow, they make ready their arrow on the string, that they may privately shoot at the upright in heart.
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
If the foundations be destroyed, what can the righteous do?
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
The LORD is in his holy temple, the LORD’s throne is in heaven: his eyes behold, his eyelids try, the children of men.
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
The LORD tries the righteous: but the wicked and him that loves violence his soul hates.
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
On the wicked he shall rain snares, fire and brimstone, and an horrible tempest: this shall be the portion of their cup.
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
For the righteous LORD loves righteousness; his countenance does behold the upright.