< Zaburi 11 >

1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
大衛的詩,交與伶長。 我是投靠耶和華; 你們怎麼對我說:你當像鳥飛往你的山去。
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
看哪,惡人彎弓,把箭搭在弦上, 要在暗中射那心裏正直的人。
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
根基若毀壞, 義人還能做甚麼呢?
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
耶和華在他的聖殿裏; 耶和華的寶座在天上; 他的慧眼察看世人。
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
耶和華試驗義人; 惟有惡人和喜愛強暴的人,他心裏恨惡。
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
他要向惡人密布網羅; 有烈火、硫磺、熱風,作他們杯中的分。
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
因為耶和華是公義的,他喜愛公義; 正直人必得見他的面。

< Zaburi 11 >