< Zaburi 109 >
1 Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
Jusqu'à la Fin, psaume de David. Dieu, ne passe point ma louange sous silence;
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
car la bouche des pécheurs, la bouche des fourbes est ouverte contre moi.
3 Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
Ils ont parlé de moi avec une langue perfide; ils m'ont enveloppé de paroles de haine, et ils m'ont attaqué sans sujet.
4 Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
Au lieu de m'aimer, ils me calomnient; et moi je priais;
5 Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
Et ils m'ont rendu le mal pour le bien, la haine pour l'amitié.
6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
Établis sur mon ennemi un pécheur, et que le démon se tienne à sa droite.
7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
Lorsqu'on le jugera, qu'il s'en aille condamné, et que sa prière soit imputée à péché.
8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
Que ses jours soient abrégés, et qu'un autre reçoive sa dignité.
9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
Que ses fils deviennent orphelins, et sa femme veuve.
10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
Que ses enfants errent sans asile, qu'ils mendient, qu'ils soient chassés de leurs habitations.
11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
Qu'un usurier extorque tout son bien, et que des étrangers bâtissent sur ses travaux.
12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
Qu'il ne lui reste personne pour protecteur, personne qui ait pitié de ses orphelins.
13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
Que ses enfants aillent à leur perte, et qu'en une seule génération son nom soit effacé.
14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
Que le souvenir de l'iniquité de ses pères revive devant le Seigneur; et que le péché de sa mère ne soit point effacé.
15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
Qu'ils soient toujours devant le Seigneur, et que leur mémoire périsse sur la terre,
16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
En punition de ce qu'il n'a point songé à faire miséricorde,
17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
Et qu'il a poursuivi, pour le mettre à mort, un homme pauvre, mendiant, et plein de componction.
18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
Il a aimé la malédiction, et elle viendra sur lui; il n'a point désiré la bénédiction, et elle s'éloignera de lui. Il s'est revêtu de la malédiction comme d'une tunique, et elle a pénétré comme l'eau dans ses entrailles, comme l'huile dans ses os.
19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
Qu'elle soit pour lui comme le manteau dont il s'enveloppe, et comme la ceinture dont il est ceint toujours.
20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
Telle sera la peine de ceux qui me calomnient devant Dieu, et qui disent des méchancetés contre mon âme.
21 Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
Et toi, Seigneur, Seigneur, agis envers moi pour l'amour de ton nom; car ta miséricorde est douce. Protège-moi,
22 Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
Parce que je suis pauvre et nécessiteux, et que mon cœur est troublé au dedans de moi.
23 Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
Je m'en vais comme l'ombre quand elle décline, et j'ai été ballotté comme une nuée de sauterelles.
24 Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
Mes genoux ont été énervés par le jeûne, et ma chair s'est altérée, faute d'huile.
25 Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
Et moi, je suis devenu un opprobre pour mes ennemis; ils m'ont vu, et ont secoué la tête.
26 Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
Secours-moi, Seigneur mon Dieu, et sauve-moi selon ta miséricorde.
27 Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
Et qu'ils sachent que c'est ta main, que c'est toi, Seigneur, qui as agi.
28 Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
Ils maudiront, et tu béniras; que ceux qui m'attaqueront soient confondus, et ton serviteur sera réjoui.
29 Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
Que nos calomniateurs soient couverts de honte, et enveloppés de honte comme d'un double manteau.
30 Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
Je rendrai gloire au Seigneur de toute la force de ma bouche, et je le louerai au milieu de la multitude,
31 Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.
Parce qu'il s'est placé à la droite du pauvre, pour me sauver de ceux qui persécutaient mon âme.