< Zaburi 109 >
1 Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
Unto the end. A Psalm of David.
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
O God, do not be silent toward my praise, for the mouth of the sinner and the mouth of the deceitful one have been opened against me.
3 Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
They have spoken against me with deceitful tongues, and they have surrounded me with hateful words, and they fought against me over nothing.
4 Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
Instead of choosing to act on my behalf, they detracted me. But I gave myself to prayer.
5 Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
And they set evil against me, instead of good, and hatred, in return for my love.
6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
Establish the sinner over him, and let the devil stand at his right hand.
7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
When he is judged, may he go forth in condemnation, and may his prayer be counted as sin.
8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
May his days be few, and let another take his episcopate.
9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
May his sons be orphans, and his wife a widow.
10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
May his sons be carried by those who walk unsteadily, and may they go begging. And may they be cast out of their dwelling places.
11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
May the money lenders scrutinize all his belongings, and let foreigners plunder his labors.
12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
May there be no one to assist him, nor anyone to be compassionate to his orphaned children.
13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
May his posterity be in utter ruin. In one generation, may his name be wiped away.
14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
May the iniquity of his fathers return in memory before the sight of the Lord, and do not let the sin of his mother be wiped away.
15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
May these be opposite the Lord always, but let their memory perish from the earth.
16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
For certain things are not remembered about them, in order to be merciful.
17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
And so the destitute man was pursued, with the beggar and the remorseful in heart, so as to be put to death.
18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
And he loved a curse, and it came to him. And he was unwilling to have a blessing, and it went far from him. And he clothed himself with curses like a garment, and it entered his inner self like water, and it entered his bones like oil.
19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
May it be to him like a garment that covers him, and like a belt that always cinches him.
20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
This is the work of those who detract me with the Lord and who speak evils against my soul.
21 Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
But as for you, Lord, O Lord: act on my behalf for your name’s sake. For your mercy is sweet.
22 Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
Free me, for I am destitute and poor, and my heart has been disquieted within me.
23 Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
I have been taken away like a shadow when it declines, and I have been shaken off like locusts.
24 Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
My knees have been weakened by fasting, and my flesh has been replaced by oil.
25 Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
And I have become a disgrace to them. They saw me, and they shook their heads.
26 Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
Help me, O Lord, my God. Save me according to your mercy.
27 Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
And let them know that this is your hand, and that you, O Lord, have done this.
28 Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
They will curse, and you will bless. May those who rise up against me be confounded. But your servant will rejoice.
29 Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
May those who detract me be clothed with shame, and may they be covered with their confusion, as if with a double cloak.
30 Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
I will confess exceedingly to the Lord with my mouth. And I will praise him in the midst of the multitude.
31 Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.
For he stands at the right hand of the poor, in order to save my soul from persecutors.