< Zaburi 109 >
1 Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
Min Lovsangs Gud, ti ikke!
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
Thi de have opladt Ugudeligheds Mund og Falskheds Mund imod mig; de have talt imod mig med Løgnens Tunge,
3 Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
og de have omringet mig med hadefulde Ord og stridt imod mig uden Aarsag.
4 Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
Til Løn for min Kærlighed staa de mig imod, men jeg er stedse i Bøn.
5 Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
Og de beviste mig ondt for godt, og Had for min Kærlighed.
6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
Sæt en ugudelig over ham og lad en Anklager staa ved hans højre Haand!
7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
Naar han dømmes, da lad ham gaa ud som skyldig, og lad hans Bøn blive tir Synd!
8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
Hans Dage vorde faa, en anden annamme hans Embede!
9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
Hans Børn vorde faderløse og hans Hustru Enke!
10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
Og lad hans Børn vanke hid og did og tigge, og lad dem fra deres øde Hjem søge om Føde!
11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
Lad Aagerkarlen kaste Garn ud efter alt det, han har, og fremmede røve Frugten af hans Arbejde.
12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
Lad ham ikke finde nogen, som bevarer Miskundhed imod ham, og ingen forbarme sig over hans faderløse!
13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
Hans Fremtid vorde afskaaren, deres Navn vorde udslettet i andet Led!
14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
Hans Fædres Misgerning vorde ihukommet hos Herren og hans Moders Synd ikke udslettet!
15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
De være Herren altid for Øje, og han udrydde deres Ihukommelse af Jorden;
16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
fordi han ikke kom i Hu at gøre Miskundhed, men forfulgte en elendig og en fattig Mand og den, som var bedrøvet i Hjertet, for at dræbe ham.
17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
Han elskede Forbandelse, den kom ogsaa over ham, og han havde ikke Lyst til Velsignelse, og den blev ogsaa langt fra ham.
18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
Og han iførte sig Forbandelse som sit Klædebon, og den kom ind i ham som Vand og som Olie i hans Ben.
19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
Den vorde ham som et Klædebon, hvilket han ifører sig, og som et Bælte, hvilket han altid ombinder sig med.
20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
Dette er Lønnen fra Herren til dem, som staa mig imod, og som tale ondt imod min Sjæl!
21 Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
Men du, Herre, Herre! gøre vel imod mig for dit Navns Skyld; red mig, fordi din Miskundhed er god.
22 Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
Thi jeg er elendig og fattig, og mit Hjerte er saaret inden i mig.
23 Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
Jeg svinder bort som en Skygge, naar den hælder, jeg bliver jaget bort som en Græshoppe.
24 Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
Mine Knæ rave af Faste, og mit Kød er magert og har ingen Fedme.
25 Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
Og jeg maa være deres Spot; de se mig, de ryste med deres Hoved.
26 Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
Hjælp mig, Herre, min Gud! frels mig efter din Miskundhed,
27 Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
at de maa kende, at dette er din Haand; du, Herre! du har gjort det.
28 Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
Forbande de, saa velsigner du, de rejse sig, men blive til Skamme, og din Tjener glædes.
29 Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
Lad mine Modstandere iføres Forsmædelse og klædes med deres Skam som med en Kappe.
30 Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
Jeg vil takke Herren højlig med min Mund, og jeg vil love ham midt iblandt mange;
31 Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.
thi han staar ved den fattiges højre Haand for at frelse ham fra dem, som dømme hans Sjæl.