< Zaburi 109 >
1 Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
Zborovođi. Psalam. Davidov. Bože, diko moja, nemoj šutjeti!
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
Usta bezbožna i prijevarna na me se otvaraju, govore mi jezikom lažljivim,
3 Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
riječima me mržnje okružuju, bezrazložno me napadaju.
4 Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
Za moju me ljubav oni optužuju, a ja se samo molim.
5 Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
Uzvraćaju mi zlo za dobro, mržnju za ljubav moju.
6 Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
“Digni protiv njega bezbožnika i tužitelj nek' mu stane zdesna!
7 Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
Kad mu se bude sudilo, nek' bude osuđen, i molitva mu se za grijeh uzela!
8 Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
Dani njegovi nek' budu malobrojni, njegovu službu nek' dobije drugi!
9 Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
Djeca njegova nek' postanu siročad, a njegova žena udovica!
10 Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
Nek' mu djeca budu skitnice, prosjaci, nek' budu bačena iz opustjelih domova!
11 Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
Nek' mu lihvar prigrabi sav posjed, tuđinci nek' razgrabe plod muke njegove!
12 Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
Nitko ne imao prema njemu samilosti, nitko se ne smilovao siročadi njegovoj!
13 Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
Neka mu se zatre potomstvo, u drugome koljenu neka se utrne ime njegovo!
14 Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
Spominjao se Jahve grijeha njegovih, i grijeh njegove majke nek' se ne izbriše:
15 Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
nek budu svagda Jahvi pred očima! Neka se sa zemlje izbriše spomen njihov!”
16 Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
Jer se ne spomenu da čini milosrđe, već proganjaše bijedna i uboga i u smrt gonjaše čovjeka srca shrvana.
17 Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
Prokletstvo je ljubio, pa neka ga stigne; blagoslova ne htjede, daleko nek' je od njega!
18 Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
Prokletstvom nek' se odjene kao haljinom, neka kao voda uđe u njega i kao ulje u kosti njegove.
19 Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
Bilo mu haljinom kojom se pokriva, pojas kojim se svagda paše!
20 Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
Tako nek' plati Jahve tužiteljima mojim koji zlo govore protiv duše moje!
21 Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
A ti, Jahve, Gospode, rad imena svog zauzmi se za me, spasi me jer je dobrostiva ljubav tvoja!
22 Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
Jer bijedan sam i ubog, i srce je moje ranjeno u meni.
23 Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
K'o sjena što se naginje ja nestajem, progone me kao skakavca.
24 Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
Od posta mi koljena klecaju i tijelo moje omrša.
25 Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
Ruglom sam njima postao, kimaju glavom kad me vide.
26 Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
Pomozi mi, Jahve, Bože moj, po doborti me svojoj spasi!
27 Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
Nek' upoznaju da je ovo ruka tvoja i da si ti ovo učinio, Jahve!
28 Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
Oni nek' proklinju, ti blagoslivljaj; nek' se postide koji se na me podižu, a sluga tvoj nek' se raduje!
29 Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
Stidom nek' se odjenu tužitelji moji i sramotom svojom nek' se k'o plaštem pokriju!
30 Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
Slavit ću Jahvu iz svega grla i hvalit' ga u veliku mnoštvu
31 Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.
jer stoji s desne siromahu da mu dušu spasi od sudaca.