< Zaburi 108 >
1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
Canción: Salmo de David. MI corazón está dispuesto, oh Dios; cantaré y salmearé todavía en mi gloria.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Despiértate, salterio y arpa: despertaré al alba.
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Te alabaré, oh Jehová, entre los pueblos; á ti cantaré salmos entre las naciones.
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
Porque grande más que los cielos es tu misericordia, y hasta los cielos tu verdad.
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
Ensálzate, oh Dios, sobre los cielos; y sobre toda la tierra tu gloria.
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Para que sean librados tus amados, salva con tu diestra y respóndeme.
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Dios habló por su santuario: alegraréme, repartiré á Sichêm, y mediré el valle de Succoth.
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Mío es Galaad, mío es Manasés; y Ephraim es la fortaleza de mi cabeza; Judá es mi legislador;
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Moab, la vasija de mi lavatorio: sobre Edom echaré mi calzado; regocijaréme sobre Palestina.
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
¿Quién me guiará á la ciudad fortalecida? ¿quién me guiará hasta Idumea?
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Ciertamente tú, oh Dios, que nos habías desechado; y no salías, oh Dios, con nuestros ejércitos.
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Danos socorro en la angustia: porque mentirosa es la salud del hombre.
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
En Dios haremos proezas: y él hollará nuestros enemigos.