< Zaburi 108 >

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
canticum psalmi David paratum cor meum Deus paratum cor meum cantabo et psallam in gloria mea
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
exsurge psalterium et cithara exsurgam diluculo
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
confitebor tibi in populis Domine et psallam tibi in nationibus
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
quia magna super caelos misericordia tua et usque ad nubes veritas tua
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
exaltare super caelos Deus et super omnem terram gloria tua
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
ut liberentur dilecti tui salvum fac dextera tua et exaudi me
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Deus locutus est in sancto suo exaltabor et dividam Sicima et convallem tabernaculorum dimetiar
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
meus est Galaad et meus est Manasse et Effraim susceptio capitis mei Iuda rex meus
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Moab lebes spei meae in Idumeam extendam calciamentum meum mihi alienigenae amici facti sunt
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
quis deducet me in civitatem munitam quis deducet me usque in Idumeam
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
nonne tu Deus qui reppulisti nos et non exibis Deus in virtutibus nostris
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
da nobis auxilium de tribulatione quia vana salus hominis
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
in Deo faciemus virtutem et ipse ad nihilum deducet inimicos nostros

< Zaburi 108 >