< Zaburi 108 >

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
Canto. Salmo. Di Davide. Saldo è il mio cuore, Dio, saldo è il mio cuore: voglio cantare inni, anima mia.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Svegliatevi, arpa e cetra, voglio svegliare l'aurora.
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Ti loderò tra i popoli, Signore, a te canterò inni tra le genti,
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
perché la tua bontà è grande fino ai cieli e la tua verità fino alle nubi.
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
Innàlzati, Dio, sopra i cieli, su tutta la terra la tua gloria.
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Perché siano liberati i tuoi amici,
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Dio ha parlato nel suo santuario: «Esulterò, voglio dividere Sichem e misurare la valle di Succot;
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
mio è Gàlaad, mio Manasse, Efraim è l'elmo del mio capo, Giuda il mio scettro.
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Moab è il catino per lavarmi, sull'Idumea getterò i miei sandali, sulla Filistea canterò vittoria».
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
Chi mi guiderà alla città fortificata, chi mi condurrà fino all'Idumea?
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Non forse tu, Dio, che ci hai respinti e più non esci, Dio, con i nostri eserciti?
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Contro il nemico portaci soccorso, poiché vana è la salvezza dell'uomo.
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
Con Dio noi faremo cose grandi ed egli annienterà chi ci opprime.

< Zaburi 108 >