< Zaburi 108 >

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
Cantique de psaume, de David lui-même. Mon cœur est prêt, ô Dieu, mon cœur est prêt, je chanterai, je jouerai du psaltérion au milieu de ma gloire.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Lève-toi, ô ma gloire, lève-toi, psaltérion, et toi, harpe: je me lèverai au point du jour.
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Je vous louerai parmi les peuples. Seigneur, et je dirai un psaume en votre honneur parmi les nations.
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
Parce que votre miséricorde est grande au-dessus des cieux, et que votre vérité s’élève jusqu’aux nues.
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
Soyez exalté au-dessus des cieux, ô Dieu, et que sur toute la terre éclate votre gloire,
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Afin que vos bien-aimés soient délivrés. Sauvez-moi par votre droite, et exaucez-moi;
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Dieu a parlé dans son sanctuaire:
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
À moi est Galaad, et à moi est Manassé; Ephraïm est l’appui de ma tête.
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Moab est le vase de mon espérance.
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
Qui me conduira dans une ville fortifiée? qui me conduira jusque dans l’Idumée?
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Ne sera-ce pas vous, ô Dieu, qui nous avez rejetés? et ne sortirez-vous point, ô Dieu, à la tête de nos armées?
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Donnez-nous du secours, pour nous tirer de la tribulation, parce que vain est le salut de l’homme.
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
En Dieu nous ferons preuve de valeur, et lui-même réduira au néant nos ennemis.

< Zaburi 108 >