< Zaburi 108 >

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
The song of `the salm of Dauid. Min herte is redi, God, myn herte is redi; Y schal singe, and Y schal seie salm in my glorie.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
My glorie, ryse thou vp, sautrie and harp, rise thou vp; Y schal rise vp eerli.
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Lord, Y schal knouleche to thee among puplis; and Y schal seie salm to thee among naciouns.
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
For whi, God, thi merci is greet on heuenes; and thi treuthe is til to the cloudis.
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
God, be thou enhaunsid aboue heuenes; and thi glorie ouer al erthe.
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
That thi derlingis be delyuerid, make thou saaf with thi riythond, and here me; God spak in his hooli.
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
I schal make ful out ioye, and Y schal departe Siccimam; and Y schal mete the grete valei of tabernaclis.
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Galaad is myn, and Manasses is myn; and Effraym is the vptaking of myn heed. Juda is my king; Moab is the caudron of myn hope.
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
In to Ydume Y schal stretche forth my scho; aliens ben maad frendis to me.
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
Who schal lede me forth in to a stronge citee; who schal lede me forth til in to Idume?
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Whether not thou, God, that hast put vs awei; and, God, schalt thou not go out in oure vertues?
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Yyue thou help to vs of tribulacioun; for the heelthe of man is veyn.
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
We schulen make vertu in God; and he schal bringe oure enemyes to nouyt.

< Zaburi 108 >