< Zaburi 108 >
1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
En Sang, en Psalme af David.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Trøstigt er mit Hjerte, o Gud! jeg vil synge, jeg vil lege paa Harpe, ogsaa min Ære skal juble.
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Vaagn op, Psalter og Harpe! jeg vil vække Morgenrøden.
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
Jeg vil takke dig, Herre! iblandt Folkene og lege paa Harpe for dig iblandt Folkestammer.
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
Thi din Miskundhed er stor over Himlene og din Sandhed indtil Skyerne.
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Ophøj dig, Gud! over Himlene, og din Ære være over al Jorden!
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Paa det dine elskelige maa udfries, saa frels med din højre Haand og bønhør os!
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Gud har talt i sin Helligdom, jeg vil fryde mig; jeg vil uddele Sikem og opmaale Sukots Dal.
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Mig hører Gilead til, mig hører Manasse til, og Efraim er mit Hoveds Værn, Juda er min Herskerstav.
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
Moab er mit Vadskefad; jeg vil kaste min Sko til Edom; bryd ud i Jubel over mig, du Filisterland!
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Hvo vil føre mig tilden faste Stad? hvo har ledet mig til Edom?
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Mon ikke du, Gud, som har forkastet os? og vil du, Gud, ikke uddrage med vore Hære?
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
Fly os Hjælp af Nød; thi Menneskers Hjælp er Forfængelighed. Ved Gud ville vi vinde Kraft; og han skal nedtræde vore Fjender.