< Zaburi 108 >

1 Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
Gode! Na da Dima dafawaneyale dawa: i dagoi. Na da Dima nodosa gesami hea: mu amola Dima nodomu.
2 Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Na a: silibu! Nedigima! Na sani baidama amola na ‘laia’ dusu liligi! Nedigima! Na da amoga eso didilisimu!
3 Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
Hina Gode! Na da fifi asi gala amo ganodini Dima nodomu! Na da dunu fifi asi gala huluane amo ganodini Dima nodone sia: mu.
4 Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
Dia mae fisili asigidafa hou da muagado doaga: sa! Dia hame fisisu hou da muagado digila heda: sa!
5 Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
Gode! Dia gasa bagade hou amo muagado ganodini olelema! Amola Dia hadigi hou amo osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ba: ma: ne, olelema!
6 Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
Dia gasa bagade amoga nini gaga: ma! Dunu amo da Dia dogolegei, ilia da gaga: su ba: ma: ne, ninia sia: ne gadosu amoma dabe adole ima.
7 Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
Ea hadigi sogebi amogainini, Gode da amane sia: i “Na da hasalasili, Siegeme moilai amola Sagode Fago amo alalo hahamone, huluane momogili Na fi dunuma imunu.
8 Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
Gilia: de fi da Na: Ma: na: sa fi amola da Na: Ifala: ime fi da Na dialuma figisu amola Yuda fi da Na Hina Bagade Dagulu.
9 Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
Be Na da Moua: be amo Na lobo dodofesu ofodo hamomu. Amola Na da Idome amo Ni lai dagoi, amo enoga dawa: digima: ne, Na da emo salasu gisa: le, Idomema galagamu! Na da Filisidini dunu hasalasiba: le, hasalasu halasu wele sia: mu.
10 Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
Gode! Nowa da na oule, gasa bagade gagili sali moilai bai bagade Amoga heda: ma: bela: ? Nowa da na sigi aligili, Idome amoga masa: bela: ?
11 Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
Di da dafawane nini higale fisiagabela: ? Di da ninia dadi gagui dunu ilima gilisili mogodigili ga hame masa: bela: ?
12 Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
Ninima ha lai dunu da nini hasalasa: besa: le, Dia nini fidima. Bai osobo bagade dunu ilia fidisu da hamedeidafa gala.
13 Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.
Gode da ninimagasea, ninia da ilima hasalasimu. E da ninima ha lai dunu ili hasalasimu.

< Zaburi 108 >