< Zaburi 107 >
1 Mshukuruni Yahwe, maana ni mwema, na uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Rendez grâce à Yahvé, car il est bon, car sa bonté est éternelle.
2 Waseme hivi waliokombolewa na Yahwe, wale aliowaokoa toka mkononi mwa adui.
Que les rachetés par Yahvé le disent, qu'il a racheté de la main de l'adversaire,
3 Yeye amewakusanya kutoka nchi za kigeni, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
et rassemblés hors des terres, de l'est et de l'ouest, du nord et du sud.
4 Walitanga-tanga janwani katika njia ya nyika hawakuona mji wa kuishi.
Ils erraient dans le désert, sur un chemin désert. Ils n'ont pas trouvé de ville où vivre.
5 Kwa sababu walikuwa na njaa na kiu, walikata tamaa kutokana na uchovu.
Affamé et assoiffé, leur âme s'est évanouie en eux.
6 Kisha walimuita Yahwe katika shida yao, naye aliwaokoa toka katika dhiki yao.
Et ils crièrent à Yahvé dans leur détresse, et il les a délivrés de leurs détresses.
7 Aliwaongoza kupitia njia ya moja kwa moja waweze kwenda mjini kuishi humo.
Il les a aussi conduits par un chemin droit, pour qu'ils puissent aller vivre dans une ville.
8 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliowatendea wanadamu!
Qu'ils louent Yahvé pour sa bonté, pour ses actes merveilleux envers les enfants des hommes!
9 Maana hutosheleza shauku za walio na kiu, na hamu ya wale wenye njaa yeye huwashibisha kwa mambo mema.
Car il rassasie l'âme languissante. Il remplit de bien l'âme affamée.
10 Baadhi walikaa katika giza na uvuli wa mauti, walifungwa katika mateso na minyororo.
Certains se sont assis dans les ténèbres et dans l'ombre de la mort, étant lié par l'affliction et le fer,
11 Hii ni kwa sababu walikuwa wameliasi neno la Mungu na walikataa maelekezo ya Aliye Juu.
parce qu'ils se sont rebellés contre les paroles de Dieu, et a condamné le conseil du Très-Haut.
12 Aliinyenyekesha mioyo yao kupitia magumu; walipata mashaka na hakukuwa na mmoja wa kuwasaidia.
C'est pourquoi il a abattu leur cœur par le travail. Ils sont tombés, et il n'y avait personne pour les aider.
13 Kisha wakamwita Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Et ils crièrent à Yahvé dans leur détresse, et il les a sauvés de leur détresse.
14 Aliwatoa gizani na kwenye uvuli wa mauti na kuvunja vifungo vyao.
Il les a fait sortir des ténèbres et de l'ombre de la mort, et a brisé leurs chaînes.
15 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
Qu'ils louent Yahvé pour sa bonté, pour ses actes merveilleux envers les enfants des hommes!
16 Kwa maana amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
Car il a brisé les portes d'airain, et de couper des barres de fer.
17 Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi na kuteswa kwa sababu ya dhambi zao.
Les fous sont affligés à cause de leur désobéissance, et à cause de leurs iniquités.
18 Walipoteza hamu yao ya kula chakula chochote, na waliyakaribia malango ya kifo.
Leur âme a en horreur toute sorte de nourriture. Ils s'approchent des portes de la mort.
19 Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Puis ils crient à Yahvé dans leur détresse, et il les sauve de leurs détresses.
20 Alituma neno lake na likawaponya, na akawaokoa kutoka katika uharibifu wao.
Il envoie sa parole, et il les guérit, et les délivre de leurs tombes.
21 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
Qu'ils louent Yahvé pour sa bonté, pour ses actes merveilleux envers les enfants des hommes!
22 Na watoe dhabihu ya shukrani na kutangaza matendo yake kwa kuimba.
Qu'ils offrent les sacrifices d'actions de grâces, et publier ses exploits en chantant.
23 Baadhi husafiri baharini katika meli na kufanya biashara juu ya bahari.
Ceux qui descendent à la mer dans des bateaux, qui font des affaires dans les grandes eaux,
24 Hawa huona matendo ya Yahwe na maajabu yake baharini.
ceux-ci voient les actes de Yahvé, et ses merveilles dans les profondeurs.
25 Kwa maana aliamuru na alivumisha upepo wa dhoruba ambao uliyainua juu mawimbi ya baharini.
Car il commande, et il soulève le vent de la tempête, qui soulève ses vagues.
26 Walipanda juu mawinguni na kushuka vilindini. Nafsi zao ziliyeyuka katika dhiki.
Ils montent jusqu'au ciel, ils redescendent dans les profondeurs. Leur âme fond à cause des problèmes.
27 Waliyumba-yumba na kupepesuka kama walevi na hawakujua la kufanya.
Ils titubent d'avant en arrière, et titubent comme un homme ivre, et sont à bout de nerfs.
28 Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Alors ils crient à Yahvé dans leur détresse, et il les fait sortir de leur détresse.
29 Aliituliza dhoruba, na mawimbi yakatulia.
Il fait de la tempête un calme, pour que ses ondes soient immobiles.
30 Ndipo walifurahia kwa sababu bahari ilikuwa shwali, na aliwaleta kwenye bandari waliyoitamani.
Alors ils se réjouissent parce que c'est calme, alors il les amène à l'endroit désiré.
31 Oh, ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyowatendea wanadamu!
Qu'ils louent Yahvé pour sa bonté, pour ses actions merveilleuses en faveur des enfants des hommes!
32 Wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu na wamsifu yeye katika baraza la viongozi.
Qu'ils l'exaltent aussi dans l'assemblée du peuple, et le louent sur le siège des anciens.
33 Aligeuza mito ikwa jangwa, chemchem ya maji ikawa nchi kame,
Il transforme les fleuves en désert, l'eau jaillit dans une terre assoiffée,
34 na nchi ya matunda mengi ikawa nchi isiyozaa kwa sababu ya uovu wa watu wake.
et une terre fertile en un désert de sel, à cause de la méchanceté de ceux qui l'habitent.
35 Aligeuza jangwa likawa ziwa la maji na nchi kame ikawa chemchem ya maji.
Il transforme le désert en une mare d'eau, et une terre aride en sources d'eau.
36 Aliwakalisha huko wenye njaa, nao walijenga mji na kuishi humo.
Là, il fait vivre les affamés, afin qu'ils puissent préparer une ville pour y vivre,
37 Walijenga mji ili kupanda mimea shambani, kupanda mizabibu, na kuleta humo mazao tele.
semer des champs, planter des vignes, et récolter les fruits de l'augmentation.
38 Yeye huwabariki wameongezeka sana katika hesabu. Haachi mifugo yao ipungue katika hesabu.
Il les bénit aussi, de sorte qu'ils se multiplient considérablement. Il ne permet pas à leur bétail de diminuer.
39 Kisha wakapungua na kudhilika kwa dhiki na mateso.
Encore une fois, ils sont diminués et courbés. à travers l'oppression, l'ennui et le chagrin.
40 Akawamwagia viongozi dharau na akawafanya wazunguke katika jangwa, mahali pasipo na njia.
Il déverse le mépris sur les princes, et les fait errer dans un désert sans piste.
41 Lakini aliwalinda wahitaji dhidi ya mateso na kujali kwa ajili ya familia yake kama kundi la kondoo.
Et pourtant, il sort les nécessiteux de leur détresse, et augmentent leurs familles comme un troupeau.
42 Wenye haki wataona hili na kufurahi, na uovu wote utaona na kufunga kinya chake.
Les hommes droits la verront et se réjouiront. Tous les méchants fermeront leur bouche.
43 Yeyote mwenye hekima anapaswa kuyaangalia haya na kutafakari juu ya matendo ya uaminifu wa agano la Yahwe.
Celui qui est sage fera attention à ces choses. Ils considéreront les bontés de Yahvé.