< Zaburi 107 >

1 Mshukuruni Yahwe, maana ni mwema, na uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Hina Godema nodone sia: ma! Bai E da noga: idafa, amola Ea asigisu hou da mae fisili dialumu.
2 Waseme hivi waliokombolewa na Yahwe, wale aliowaokoa toka mkononi mwa adui.
Hina Gode Ea gaga: i dunu huluane! Amo Hina Godema nodone sia: be bu dabuasili sia: ma. E da dilia ha lai dunu amo dilima bu se mae ima: ne, dili gaga: i.
3 Yeye amewakusanya kutoka nchi za kigeni, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
Amola E da dili ga fi dunu ilia soge gusudili, guma: dini, ga (south) amola ga (north) amodili, buhagima: ne oule momafui.
4 Walitanga-tanga janwani katika njia ya nyika hawakuona mji wa kuishi.
Isala: ili fi dunu mogili ilia da logo hamedei hafoga: i sogega, dadoula lafiadalusu. Ilia da moilai bai bagade amogai fimusa: hogoi helele, hame ba: i.
5 Kwa sababu walikuwa na njaa na kiu, walikata tamaa kutokana na uchovu.
Ilia da ha: i amola hano hanai, amola dafawane hamoma: beyale dawa: lusu huluane fisi dagoi.
6 Kisha walimuita Yahwe katika shida yao, naye aliwaokoa toka katika dhiki yao.
Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
7 Aliwaongoza kupitia njia ya moja kwa moja waweze kwenda mjini kuishi humo.
E da ili logo moloidafa amoga moilai bai bagade amoga esaloma: ne oule asi.
8 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliowatendea wanadamu!
Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
9 Maana hutosheleza shauku za walio na kiu, na hamu ya wale wenye njaa yeye huwashibisha kwa mambo mema.
E da hano hanai dunu bu guminisisa. E da ha: i dunu sadima: ne liligi noga: i ilima iaha.
10 Baadhi walikaa katika giza na uvuli wa mauti, walifungwa katika mateso na minyororo.
Mogili ilia da alalo yo, amola gasi ganodini esalu. Ilia da se iasu diasu ganodini, sia: inega la: gili, se nabawane esalu.
11 Hii ni kwa sababu walikuwa wameliasi neno la Mungu na walikataa maelekezo ya Aliye Juu.
Bai ilia da Gode Bagadedafa Ea hamoma: ne sia: i amo mae nabawane, Ema odoga: i.
12 Aliinyenyekesha mioyo yao kupitia magumu; walipata mashaka na hakukuwa na mmoja wa kuwasaidia.
Ilia da gasa bagade hawa: hamobeba: le, gufia: i. Ilia da dafane, fidisu dunu hame ba: i.
13 Kisha wakamwita Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
14 Aliwatoa gizani na kwenye uvuli wa mauti na kuvunja vifungo vyao.
E da ilia alalo yo amo gasi ganodini esalu, amoga gadili oule asili, ilia sia: ine fifilisi.
15 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
16 Kwa maana amevunja malango ya shaba na kukata mapingo ya chuma.
Hina Gode da balasega hamoi logo ga: su gadelale sala, amola ouliga hamoi galiamo amo gagoudane salasu dawa:
17 Walikuwa wapumbavu katika njia zao za uasi na kuteswa kwa sababu ya dhambi zao.
Mogili ilia da gagaoui dunu esalu. Ilia da wadela: i hou hamoiba: le, se nabasu.
18 Walipoteza hamu yao ya kula chakula chochote, na waliyakaribia malango ya kifo.
Ilia da ha: i manu ba: mu higale, amola bogomu gadenei ba: i.
19 Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i
20 Alituma neno lake na likawaponya, na akawaokoa kutoka katika uharibifu wao.
E da ilima uhima: ne sia: beba: le, ilia uhini, amola bogoi uli dogoiga hame sa: i.
21 Oh ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyoyatenda kwa wanadamu!
Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
22 Na watoe dhabihu ya shukrani na kutangaza matendo yake kwa kuimba.
Ilia da Godema nodomusa: , gobele salasu hamomu da defea. Amola hahawane gesami hea: su amoga Ea noga: idafa hamonanu olelemu da defea.
23 Baadhi husafiri baharini katika meli na kufanya biashara juu ya bahari.
Mogili da dusagai da: iya fila heda: le, hano wayabo bagade da: iya ahoasu. Ilia da amo hamobeba: le, bidi lasu.
24 Hawa huona matendo ya Yahwe na maajabu yake baharini.
Ilia da Hina Gode Ea noga: idafa hou, E da hano wayabo bagade da: iya hamoi, amo ba: i dagoi.
25 Kwa maana aliamuru na alivumisha upepo wa dhoruba ambao uliyainua juu mawimbi ya baharini.
E da sia: beba: le, fo bagadedafa da muni fulabobeba: le, hano da bagadewane fugagala: i.
26 Walipanda juu mawinguni na kushuka vilindini. Nafsi zao ziliyeyuka katika dhiki.
Hano gafului da dusagai da: ne gagadole, amalu bu hano lugudua legela dadafui. Se nabimu agoai ba: beba: le, dusagai da: iya hawa: hamosu dunu da bagadewane beda: gia: i.
27 Waliyumba-yumba na kupepesuka kama walevi na hawakujua la kufanya.
Ilia da adini ba: i dunu agoane, feloale dadoula asi. Ilia hawa: hamomusa: dawa: su huluane da hamedei agoai ba: i.
28 Kisha walimlilia Yahwe katika shida yao, naye akawatoa katika dhiki yao.
Amalalu, ilia bidi hamosu ganodini, ilia Hina Godema digini wele sia: i. Amola Hina Gode da ilia se nabasu yolema: ne gaga: i.
29 Aliituliza dhoruba, na mawimbi yakatulia.
Hina Gode da isu bagade amola hano gafului amo bu legela sa: i.
30 Ndipo walifurahia kwa sababu bahari ilikuwa shwali, na aliwaleta kwenye bandari waliyoitamani.
Hawa: hamosu dunu da hano gafului legela sai: ba: le, hahawane nodoi. Amola, Hina Gode da ilia hanai hano bega dusagai ligisila masu sogebi, amoga ilia noga: le ligisila masu.
31 Oh, ili watu wamsifu Yahwe kwa ajili ya uaminifu wa agano lake na kwa mambo ya ajabu aliyowatendea wanadamu!
Hina Gode da eso huluane mae fisili ilima asigiba: le, amola ili fidima: ne hou noga: idafa hamonanebeba: le, ilia Ema nodone sia: mu da defea.
32 Wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu na wamsifu yeye katika baraza la viongozi.
Ilia da Ea gasa bagade hou amo dunudafa ilia gilisisu amo ganodini olelema: ma. Ilia da asigilai dunu ilia fada: i sia: su gilisisu amo ganodini Ema nodoma: ma.
33 Aligeuza mito ikwa jangwa, chemchem ya maji ikawa nchi kame,
Hina Gode da hano oda hale hafoga: lesisi. E da bubuga: su hano mae sa: ima: ne damunisisi.
34 na nchi ya matunda mengi ikawa nchi isiyozaa kwa sababu ya uovu wa watu wake.
E da nasegagi soge afadenene, hafoga: i sali dialebe osobo hamoi. Bai dunu amogai esalu da wadela: le bagade hamoi.
35 Aligeuza jangwa likawa ziwa la maji na nchi kame ikawa chemchem ya maji.
E da hafoga: i soge afadenene, bu hano wayabo agoai hamoi. Amola hafoga: i soge eno bu bubuga: su hano dasu hamoma: ne hamoi.
36 Aliwakalisha huko wenye njaa, nao walijenga mji na kuishi humo.
E da amo sogega ha: aligi dunu fifi lama: ne, logo doasi. Amola ilia da amo ganodini fima: ne, moilai bai bagade gagui.
37 Walijenga mji ili kupanda mimea shambani, kupanda mizabibu, na kuleta humo mazao tele.
Ilia da ha: i manu bugi, amola waini efe bugili gagai. Amola amoga ilia ha: i manu bagade gamini gagai.
38 Yeye huwabariki wameongezeka sana katika hesabu. Haachi mifugo yao ipungue katika hesabu.
E da Ea fi dunu hahawane ba: ma: ne hamoi, amola ilia mano bagohame lalelegei. E da ilia bulamagau afugili gagai ilia idi amo mae hagia: ma: ne hamoi.
39 Kisha wakapungua na kudhilika kwa dhiki na mateso.
Gode Ea fi dunu ilima ha lai dunu da ili hasalasili, se bagade ilima ianoba,
40 Akawamwagia viongozi dharau na akawafanya wazunguke katika jangwa, mahali pasipo na njia.
Hina Gode da ilima ha lai dunuma higale ba: i. E da ili sefasili, hafoga: i soge amo ganodini da logo hame, ili udigili dadoula masa: ne yolesi.
41 Lakini aliwalinda wahitaji dhidi ya mateso na kujali kwa ajili ya familia yake kama kundi la kondoo.
Be E da hahani dunu amo bu se mae nabima: ne, gaga: i dagoi. E da ilia sosogo fi, ohe wa: i defele, bu bagade hamoi.
42 Wenye haki wataona hili na kufurahi, na uovu wote utaona na kufunga kinya chake.
Moloidafa dunu da amo hou ba: beba: le, nodosa. Be wadela: i hamosu dunu da amo hou ba: beba: le, ouiya: lesisa.
43 Yeyote mwenye hekima anapaswa kuyaangalia haya na kutafakari juu ya matendo ya uaminifu wa agano la Yahwe.
Bagade dawa: su dunu ilia amo hou dawa: digimu da defea. Ilia da Hina Gode Ea mae fisili asigidafa hou dawa: ma: ma.

< Zaburi 107 >