< Zaburi 106 >
1 Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Louez l’Éternel! Louez l’Éternel, car il est bon, Car sa miséricorde dure à toujours!
2 Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
Qui dira les hauts faits de l’Éternel? Qui publiera toute sa louange?
3 Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
Heureux ceux qui observent la loi, Qui pratiquent la justice en tout temps!
4 Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
Éternel, souviens-toi de moi dans ta bienveillance pour ton peuple! Souviens-toi de moi en lui accordant ton secours,
5 Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
Afin que je voie le bonheur de tes élus, Que je me réjouisse de la joie de ton peuple, Et que je me glorifie avec ton héritage!
6 Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
Nous avons péché comme nos pères, Nous avons commis l’iniquité, nous avons fait le mal.
7 Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
Nos pères en Égypte ne furent pas attentifs à tes miracles, Ils ne se rappelèrent pas la multitude de tes grâces, Ils furent rebelles près de la mer, près de la mer Rouge.
8 Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
Mais il les sauva à cause de son nom, Pour manifester sa puissance.
9 Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
Il menaça la mer Rouge, et elle se dessécha; Et il les fit marcher à travers les abîmes comme dans un désert.
10 Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
Il les sauva de la main de celui qui les haïssait, Il les délivra de la main de l’ennemi.
11 Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
Les eaux couvrirent leurs adversaires: Il n’en resta pas un seul.
12 Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
Et ils crurent à ses paroles, Ils chantèrent ses louanges.
13 Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
Mais ils oublièrent bientôt ses œuvres, Ils n’attendirent pas l’exécution de ses desseins.
14 Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
Ils furent saisis de convoitise dans le désert, Et ils tentèrent Dieu dans la solitude.
15 Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
Il leur accorda ce qu’ils demandaient; Puis il envoya le dépérissement dans leur corps.
16 Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
Ils se montrèrent, dans le camp, jaloux contre Moïse, Contre Aaron, le saint de l’Éternel.
17 Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
La terre s’ouvrit et engloutit Dathan, Et elle se referma sur la troupe d’Abiram;
18 Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
Le feu embrasa leur troupe, La flamme consuma les méchants.
19 Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
Ils firent un veau en Horeb, Ils se prosternèrent devant une image de fonte,
20 Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
Ils échangèrent leur gloire Contre la figure d’un bœuf qui mange l’herbe.
21 Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
Ils oublièrent Dieu, leur sauveur, Qui avait fait de grandes choses en Égypte,
22 Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
Des miracles dans le pays de Cham, Des prodiges sur la mer Rouge.
23 Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
Et il parla de les exterminer; Mais Moïse, son élu, se tint à la brèche devant lui, Pour détourner sa fureur et l’empêcher de les détruire.
24 Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
Ils méprisèrent le pays des délices; Ils ne crurent pas à la parole de l’Éternel,
25 bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
Ils murmurèrent dans leurs tentes, Ils n’obéirent point à sa voix.
26 Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
Et il leva la main pour jurer De les faire tomber dans le désert,
27 akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
De faire tomber leur postérité parmi les nations, Et de les disperser au milieu des pays.
28 Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
Ils s’attachèrent à Baal-Peor, Et mangèrent des victimes sacrifiées aux morts.
29 Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
Ils irritèrent l’Éternel par leurs actions, Et une plaie fit irruption parmi eux.
30 Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
Phinées se leva pour intervenir, Et la plaie s’arrêta;
31 Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
Cela lui fut imputé à justice, De génération en génération pour toujours.
32 Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
Ils irritèrent l’Éternel près des eaux de Meriba; Et Moïse fut puni à cause d’eux,
33 Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
Car ils aigrirent son esprit, Et il s’exprima légèrement des lèvres.
34 Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
Ils ne détruisirent point les peuples Que l’Éternel leur avait ordonné de détruire.
35 bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
Ils se mêlèrent avec les nations, Et ils apprirent leurs œuvres.
36 nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
Ils servirent leurs idoles, Qui furent pour eux un piège;
37 Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
Ils sacrifièrent leurs fils Et leurs filles aux idoles,
38 Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
Ils répandirent le sang innocent, Le sang de leurs fils et de leurs filles, Qu’ils sacrifièrent aux idoles de Canaan, Et le pays fut profané par des meurtres.
39 Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
Ils se souillèrent par leurs œuvres, Ils se prostituèrent par leurs actions.
40 Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
La colère de l’Éternel s’enflamma contre son peuple, Et il prit en horreur son héritage.
41 Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
Il les livra entre les mains des nations; Ceux qui les haïssaient dominèrent sur eux;
42 Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
Leurs ennemis les opprimèrent, Et ils furent humiliés sous leur puissance.
43 Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
Plusieurs fois il les délivra; Mais ils se montrèrent rebelles dans leurs desseins, Et ils devinrent malheureux par leur iniquité.
44 Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
Il vit leur détresse, Lorsqu’il entendit leurs supplications.
45 Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
Il se souvint en leur faveur de son alliance; Il eut pitié selon sa grande bonté,
46 Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
Et il excita pour eux la compassion De tous ceux qui les retenaient captifs.
47 Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
Sauve-nous, Éternel, notre Dieu! Et rassemble-nous du milieu des nations, Afin que nous célébrions ton saint nom, Et que nous mettions notre gloire à te louer!
48 Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.
Béni soit l’Éternel, le Dieu d’Israël, d’éternité en éternité! Et que tout le peuple dise: Amen! Louez l’Éternel!