< Zaburi 106 >
1 Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Halleluja! Lov Herren, thi han er god, thi hans miskundhed varer evindelig!
2 Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
Hvo kan opregne Herrens vældige gerninger, finde ord til at kundgøre al hans pris?
3 Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
Salige de, der holder på ret, som altid øver retfærdighed!
4 Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
Husk os, Herre, når dit folk finder nåde, lad os få godt af din frelse,
5 Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
at vi må se dine udvalgtes lykke, glæde os ved dit folks glæde og med din arvelod prise vor lykke!
6 Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
Vi syndede som vore Fædre, handlede ilde og gudløst.
7 Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
Vore Fædre i Ægypten ænsede ej dine Undere, kom ikke din store Miskundhed i Hu, stod den Højeste imod ved det røde Hav.
8 Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
Dog frelste han dem for sit Navns Skyld, for at gøre sin Vælde kendt;
9 Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
han trued det røde Hav, og det tørrede ud, han førte dem gennem Dybet som gennem en Ørk;
10 Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
han fried dem af deres Avindsmænds Hånd og udløste dem fra Fjendens Hånd;
11 Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
Vandet skjulte dem, som trængte dem, ikke een blev tilbage af dem;
12 Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
da troede de på hans Ord og kvad en Sang til hans Pris.
13 Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
Men de glemte snart hans Gerninger, biede ej på hans Råd;
14 Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
de grebes af Attrå i Ørkenen, i Ødemarken fristed de Gud;
15 Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
så gav han dem det, de kræved og sendte dem Lede i Sjælen.
16 Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
De bar Avind mod Moses i Lejren, mod Aron, HERRENs hellige;
17 Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
Jorden åbned sig, slugte Datan, lukked sig over Abirams Flok;
18 Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
Ilden rasede i deres Flok, Luen brændte de gudløse op.
19 Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
De lavede en Kalv ved Horeb og tilbad det støbte Billed;
20 Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
de byttede deres Herlighed bort for et Billed af en Okse, hvis Føde er Græs;
21 Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
de glemte Gud, deres Frelser, som øvede store Ting i Ægypten,
22 Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
Undere i Kamiternes Land, frygtelige Ting ved det røde Hav.
23 Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
Da tænkte han på at udrydde dem, men Moses, hans udvalgte Mand, stilled sig i Gabet for hans Åsyn for at hindre, at hans Vrede lagde øde.
24 Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
De vraged det yndige Land og troede ikke hans Ord,
25 bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
men knurrede i deres Telte og hørte ikke på HERREN;
26 Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
da løfted han Hånden og svor at lade dem falde i Ørkenen,
27 akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
splitte deres Sæd blandt Folkene, sprede dem rundt i Landene.
28 Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
De holdt til med Ba'al-Peor og åd af de dødes Ofre;
29 Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
de krænked ham med deres Gerninger, og Plage brød løs iblandt dem.
30 Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
Da stod Pinehas frem og holdt Dom, og Plagen blev bragt til at standse,
31 Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
og det regnedes ham til Retfærdighed fra Slægt til Slægt, evindelig.
32 Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
De vakte hans Vrede ved Meribas Vand, og for deres Skyld gik det Moses ilde;
33 Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
thi de stod hans Ånd imod, og han talte uoverlagte Ord.
34 Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
De udryddede ikke de Folk, som HERREN havde sagt, de skulde,
35 bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
med Hedninger blandede de sig og gjorde deres Gerninger efter;
36 nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
deres Gudebilleder dyrkede de, og disse blev dem en Snare;
37 Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
til Dæmonerne ofrede de, og det både Sønner og Døtre;
38 Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
de udgød uskyldigt Blod, deres Sønners og Døtres Blod, som de ofred til Kana'ans Guder, og Landet blev smittet ved Blod;
39 Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
de blev urene ved deres Gerninger, bolede ved deres idrætter.
40 Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
Da blev HERREN vred på sit Folk og væmmedes ved sin Arv;
41 Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
han gav dem i Folkenes Hånd, deres Avindsmænd blev deres Herrer;
42 Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
deres Fjendervoldte dem Trængsel, de kuedes under deres Hånd.
43 Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
Han frelste dem Gang på Gang, men de stod egensindigt imod og sygnede hen i Brøden;
44 Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
dog så han til dem i Trængslen, så snart han hørte dem klage;
45 Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
han kom sin Pagt i Hu og ynkedes efter sin store Miskundhed;
46 Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
han lod dem finde Barmhjertighed hos alle, der tog dem til Fange.
47 Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
Frels os, HERRE vor Gud, du samle os sammen fra Folkene, at vi må love dit hellige Navn, med Stolthed synge din Pris.
48 Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.
Lovet være HERREN, Israels Gud, fra Evighed og til Evighed! Og alt Folket svare Amen!