< Zaburi 105 >
1 Mshukuruni Yahwe, liitieni jina lake; myafanye matendo yake yajulikane kati ya mataifa.
Bersyukurlah kepada TUHAN, serukanlah nama-Nya, perkenalkanlah perbuatan-Nya di antara bangsa-bangsa!
2 Mwimbieni yeye, mwimbieni sifa yeye; semeni matendo yake yote ya ajau.
Bernyanyilah bagi-Nya, bermazmurlah bagi-Nya, percakapkanlah segala perbuatan-Nya yang ajaib!
3 Mjivune katika utakatifu wa jina lake; moyo wao wamtafutao Yahwe ufurahi.
Bermegahlah di dalam nama-Nya yang kudus, biarlah bersukahati orang-orang yang mencari TUHAN!
4 Mtafuteni Yahwe na nguvu zake; utafuteni uwepo wake siku zote.
Carilah TUHAN dan kekuatan-Nya, carilah wajah-Nya selalu!
5 Kumbukeni mambo ya ajabu aliyoyatenda,
Ingatlah perbuatan-perbuatan ajaib yang dilakukan-Nya, mujizat-mujizat-Ny dan penghukuman-penghukuman yang diucapkan-Nya,
6 miujiza yake na amri zitokazo kinywani mwake, enyi kizazi cha Ibrahimu mtumishi wake, enyi watu wa Yakobo, wachaguliwa wake.
hai anak cucu Abraham, hamba-Nya, hai anak-anak Yakub, orang-orang pilihan-Nya!
7 Yeye ni Yahwe, Mungu wetu. Amri zake ziko juu ya nchi yote.
Dialah TUHAN, Allah kita, di seluruh bumi berlaku penghukuman-Nya.
8 Naye hulikumbuka agano lake milele, neno alilo amuru kwa ajili ya vizazi elfu.
Ia ingat untuk selama-lamanya akan perjanjian-Nya, firman yang diperintahkan-Nya kepada seribu angkatan,
9 Hulikumbuka agano alilolifanya na Ibrahimu na kiapo alicho mwapia Isaka.
yang diikat-Nya dengan Abraham, dan akan sumpah-Nya kepada Ishak;
10 Hiki ndicho alicho mthibitishia Yakobo kama agano na kama agano la milele kwa Israeli.
diadakan-Nya hal itu menjadi ketetapan bagi Yakub, menjadi perjanjian kekal bagi Israel,
11 Alisema, “Nitakupa wewe ardhi ya Kanaani kama sehemu yako ya urithi.”
firman-Nya: "Kepadamu akan Kuberikan tanah Kanaan, sebagai milik pusaka yang ditentukan bagimu."
12 Alisema hili wakati tu walipokuwa wachache katika hesabu, yaani wachahe sana, nao walikuwa wageni katika nchi.
Ketika jumlah mereka tidak seberapa, sedikit saja, dan mereka orang-orang asing di sana,
13 Walienda taifa hadi taifa na kutoka ufalme moja kwenda mwingine.
dan mengembara dari bangsa yang satu ke bangsa yang lain, dari kerajaan yang satu ke suku bangsa yang lain,
14 Hakuruhusu yeyote kuwaonea; aliwakemea wafalme kwa ajili yao.
Ia tidak membiarkan seorangpun memeras mereka, raja-raja dihukum-Nya oleh karena mereka:
15 Alisema, “Msiwaguze wapakwa mafuta wangu, na msiwadhuru manabii wangu.”
"Jangan mengusik orang-orang yang Kuurapi, dan jangan berbuat jahat kepada nabi-nabi-Ku!"
16 Aliita njaa katika nchi; akaondoa upatikanaji wa mkate wote.
Ketika Ia mendatangkan kelaparan ke atas negeri itu, dan menghancurkan seluruh persediaan makanan,
17 Akatuma mtu mbele yao; Yusufu aliuzwa kama mtumishi.
diutus-Nyalah seorang mendahului mereka: Yusuf, yang dijual menjadi budak.
18 Miguu yake ilifungwa kwa pingu; alivishwa mnyororo wa chuma shingoni mwake,
Mereka mengimpit kakinya dengan belenggu, lehernya masuk ke dalam besi,
19 mpaka wakati wa maneno yake ulipotimia, nalo neno la Yahwe lilimjaribu.
sampai saat firman-Nya sudah genap, dan janji TUHAN membenarkannya.
20 Mfalme alituma watumishi kumfungua; mtawala wa watu alimuweka huru.
Raja menyuruh melepaskannya, penguasa bangsa-bangsa membebaskannya.
21 Alimuweka kuwa msimamizi wa nyumba yake kama mtawala wa mali zake zote
Dijadikannya dia tuan atas istananya, dan kuasa atas segala harta kepunyaannya,
22 kuwaelekeza wakuu kama alivyopenda na kuwafundisha viongozi wake hekima.
untuk memberikan petunjuk kepada para pembesarnya sekehendak hatinya dan mengajarkan hikmat kepada para tua-tuanya.
23 Kisha Israeli iliingia Misri, na Yakobo aliishi kwa muda katika nchi ya Hamu.
Demikianlah Israel datang ke Mesir, dan Yakub tinggal sebagai orang asing di tanah Ham.
24 Yahwe aliwajalia watu wake wazae sana, na aliwafanya wenye nguvu kuliko adui zao.
TUHAN membuat umat-Nya sangat subur, dan menjadikannya lebih kuat dari pada para lawannya;
25 Alisababisha adui zao wawachukie watu wake, na kuwatendea visivyo watumishi wake.
diubah-Nya hati mereka untuk membenci umat-Nya, untuk memperdayakan hamba-hamba-Nya.
26 Alimtuma Musa, mtumishi wake, na Haruni, ambaye alikwisha mchagua.
Diutus-Nya Musa, hamba-Nya, dan Harun yang telah dipilih-Nya;
27 Walifanya ishara zake kati ya Wamisri na maajabu yake katika ya nchi ya Hamu.
keduanya mengadakan tanda-tanda-Nya di antara mereka, dan mujizat-mujizat di tanah Ham:
28 Alituma giza na likaifanya nchi hiyo kuwa giza, lakini watu wake hawakutii amri zake.
dikirim-Nya kegelapan, maka hari menjadi gelap, tetapi mereka memberontak terhadap firman-Nya;
29 Aligeuza maji kuwa damu na aliua samaki wao.
diubah-Nya air mereka menjadi darah, dan dimatikan-Nya ikan-ikan mereka.
30 Nchi yao ilijaa vyura, hata katika vyumba vya watawala wao.
Katak-katak berkeriapan di negeri mereka, bahkan di kamar-kamar raja mereka;
31 Alisema, na makundi ya inzi na chawa wakaja mjini mwote.
Ia berfirman, maka datanglah lalat pikat, dan nyamuk-nyamuk di seluruh daerah mereka;
32 Aliigeuza mvua yao kuwa mvua ya mawe, pamoja na miali ya moto juu ya ardhi yao.
dicurahkan-Nya hujan es ganti hujan mereka, dan api yang menyala-nyala di negeri mereka;
33 Aliiharibu mizabibu yao na mitini yao; akaivunja miti ya mji wao.
dirubuhkan-Nya pohon anggur dan pohon ara mereka, dan ditumbangkan-Nya pohon di daerah mereka;
34 Alisema, na nzige wakaja, nzige wengi sana.
Ia berfirman, maka datanglah belalang dan belalang pelompat tidak terbilang banyaknya,
35 Nzige walikula mboga zao zote za majani katika nchi yao. Walikula mazao yote ardhini.
yang memakan segala tumbuh-tumbuhan di negeri mereka, dan memakan hasil tanah mereka;
36 Aliua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao, malimbuko ya nguvu zao.
dibunuh-Nya semua anak sulung di negeri mereka, mula segala kegagahan mereka:
37 Aliwatoa nje Waisraeli wakiwa na fedha na dhahabu; hakuna mmoja wa kabila lake aliyejikwaa njiani.
Dituntun-Nya mereka keluar membawa perak dan emas, dan di antara suku-suku mereka tidak ada yang tergelincir.
38 Misri ilifurahi walipoondoka, maana Wamisri waliwaogopa.
Orang Mesir bersukacita, ketika mereka keluar, sebab orang-orang Mesir itu ditimpa ketakutan terhadap mereka.
39 Alitandaza wingu liwafunike na alifanya moto uwaangazie wakati wa usiku.
Dibentangkan-Nya awan menjadi tudung, dan api untuk menerangi malam.
40 Waisraeli waliomba chakula, naye aliwaletea kware na aliwatosheleza kwa mkate kutoka mbiguni.
Mereka meminta, maka didatangkan-Nya burung puyuh, dan dengan roti dari langit dikenyangkan-Nya mereka.
41 Aliugawa mwamba, maji yalimwagika kutoka humo; yalitiririka katika jangwa kama mto.
Dibuka-Nya gunung batu, maka terpancarlah air, lalu mengalir di padang-padang kering seperti sungai;
42 Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu aliyoifanya kwa Ibrahimu mtumishi wake.
sebab Ia ingat akan firman-Nya yang kudus, akan Abraham, hamba-Nya.
43 Aliwaongoza watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za ushindi.
Dituntun-Nya umat-Nya keluar dengan kegirangan dan orang-orang pilihan-Nya dengan sorak-sorai.
44 Aliwapa nchi za mataifa; walichukua milki ya mali za watu
Diberikan-Nya kepada mereka negeri-negeri bangsa-bangsa, sehingga mereka memiliki hasil jerih payah suku-suku bangsa,
45 ili waweze kushika amri zake na kutii sheria zake. Msifuni Yahwe.
agar supaya mereka tetap mengikuti ketetapan-Nya, dan memegang segala pengajaran-Nya. Haleluya!