< Zaburi 105 >

1 Mshukuruni Yahwe, liitieni jina lake; myafanye matendo yake yajulikane kati ya mataifa.
Bersyukurlah kepada TUHAN, wartakan kebesaran-Nya, ceritakanlah perbuatan-Nya kepada bangsa-bangsa.
2 Mwimbieni yeye, mwimbieni sifa yeye; semeni matendo yake yote ya ajau.
Nyanyikanlah pujian bagi TUHAN, beritakanlah segala karya-Nya yang menakjubkan.
3 Mjivune katika utakatifu wa jina lake; moyo wao wamtafutao Yahwe ufurahi.
Dialah TUHAN Yang Mahasuci; bersukacitalah sebab kita milik-Nya, semua yang menyembah hendaklah bergembira.
4 Mtafuteni Yahwe na nguvu zake; utafuteni uwepo wake siku zote.
Mintalah kekuatan daripada-Nya, sembahlah Dia senantiasa.
5 Kumbukeni mambo ya ajabu aliyoyatenda,
Hai keturunan Abraham, hamba-Nya, dan keturunan Yakub, orang pilihan-Nya, ingatlah semua keajaiban yang dilakukan-Nya, jangan melupakan keputusan-keputusan-Nya.
6 miujiza yake na amri zitokazo kinywani mwake, enyi kizazi cha Ibrahimu mtumishi wake, enyi watu wa Yakobo, wachaguliwa wake.
7 Yeye ni Yahwe, Mungu wetu. Amri zake ziko juu ya nchi yote.
TUHAN adalah Allah kita, keputusan-Nya berlaku di seluruh dunia.
8 Naye hulikumbuka agano lake milele, neno alilo amuru kwa ajili ya vizazi elfu.
Ia selalu ingat akan perjanjian-Nya, janji-Nya berlaku selama-lamanya.
9 Hulikumbuka agano alilolifanya na Ibrahimu na kiapo alicho mwapia Isaka.
Perjanjian itu dibuat-Nya dengan Abraham, dan kemudian dengan Ishak;
10 Hiki ndicho alicho mthibitishia Yakobo kama agano na kama agano la milele kwa Israeli.
lalu dikukuhkan dengan Yakub, menjadi perjanjian yang kekal bagi umat Israel.
11 Alisema, “Nitakupa wewe ardhi ya Kanaani kama sehemu yako ya urithi.”
Katanya, "Tanah Kanaan akan Kuberikan kepadamu, menjadi milik pusakamu."
12 Alisema hili wakati tu walipokuwa wachache katika hesabu, yaani wachahe sana, nao walikuwa wageni katika nchi.
Dahulu umat Allah hidup sebagai orang asing di sana jumlah mereka sedikit saja.
13 Walienda taifa hadi taifa na kutoka ufalme moja kwenda mwingine.
Mereka mengembara dari bangsa ke bangsa, pindah dari satu negeri ke negeri lainnya.
14 Hakuruhusu yeyote kuwaonea; aliwakemea wafalme kwa ajili yao.
Tetapi TUHAN tak membiarkan siapa pun menindas mereka; demi mereka, raja-raja diperingatkan-Nya,
15 Alisema, “Msiwaguze wapakwa mafuta wangu, na msiwadhuru manabii wangu.”
"Jangan mengganggu orang-orang pilihan-Ku, jangan berbuat jahat kepada nabi-nabi-Ku!"
16 Aliita njaa katika nchi; akaondoa upatikanaji wa mkate wote.
TUHAN mendatangkan kelaparan di negeri itu, dan mengambil semua persediaan makanan.
17 Akatuma mtu mbele yao; Yusufu aliuzwa kama mtumishi.
Tetapi Ia menyuruh seorang mendahului mereka, Yusuf, yang telah dijual sebagai hamba.
18 Miguu yake ilifungwa kwa pingu; alivishwa mnyororo wa chuma shingoni mwake,
Kakinya diikat dengan belenggu, lehernya berkalung rantai besi.
19 mpaka wakati wa maneno yake ulipotimia, nalo neno la Yahwe lilimjaribu.
Akhirnya terjadilah yang ia ramalkan, ia dibenarkan oleh perkataan TUHAN.
20 Mfalme alituma watumishi kumfungua; mtawala wa watu alimuweka huru.
Lalu raja Mesir, penguasa bangsa-bangsa, membebaskan dia dari penjara.
21 Alimuweka kuwa msimamizi wa nyumba yake kama mtawala wa mali zake zote
Ia diserahi tugas mengurus istana, dan diberi kuasa atas seluruh harta bendanya;
22 kuwaelekeza wakuu kama alivyopenda na kuwafundisha viongozi wake hekima.
juga wewenang untuk mengatur para pegawai raja, dan memimpin kaum tua-tua.
23 Kisha Israeli iliingia Misri, na Yakobo aliishi kwa muda katika nchi ya Hamu.
Lalu Yakub pergi ke Mesir dan menetap di sana sebagai orang asing.
24 Yahwe aliwajalia watu wake wazae sana, na aliwafanya wenye nguvu kuliko adui zao.
TUHAN membuat umat-Nya bertambah banyak, sehingga mereka lebih kuat dari lawannya.
25 Alisababisha adui zao wawachukie watu wake, na kuwatendea visivyo watumishi wake.
Ia mengubah hati orang Mesir sehingga membenci umat-Nya dan memperlakukan hamba-hamba-Nya dengan curang.
26 Alimtuma Musa, mtumishi wake, na Haruni, ambaye alikwisha mchagua.
Lalu Ia mengutus Musa hamba-Nya dan Harun orang pilihan-Nya.
27 Walifanya ishara zake kati ya Wamisri na maajabu yake katika ya nchi ya Hamu.
Di Mesir mereka melakukan keajaiban-keajaiban, perbuatan-perbuatan besar dari TUHAN,
28 Alituma giza na likaifanya nchi hiyo kuwa giza, lakini watu wake hawakutii amri zake.
dan mereka taat kepada perintah-Nya. Lalu TUHAN menjadikan negeri itu gelap gulita.
29 Aligeuza maji kuwa damu na aliua samaki wao.
Sungai mereka diubah-Nya menjadi darah, sehingga semua ikannya musnah.
30 Nchi yao ilijaa vyura, hata katika vyumba vya watawala wao.
Katak berkeriapan di negeri mereka, bahkan masuk ke dalam istana raja.
31 Alisema, na makundi ya inzi na chawa wakaja mjini mwote.
Atas perintah Allah datanglah lalat-lalat, dan nyamuk-nyamuk berkerumun di seluruh negeri.
32 Aliigeuza mvua yao kuwa mvua ya mawe, pamoja na miali ya moto juu ya ardhi yao.
Ia mencurahkan es ganti hujan, dan mendatangkan kilat yang sambar-menyambar.
33 Aliiharibu mizabibu yao na mitini yao; akaivunja miti ya mji wao.
Ia merobohkan pohon anggur dan pohon ara, dan menumbangkan semua pohon-pohon mereka.
34 Alisema, na nzige wakaja, nzige wengi sana.
Atas perintah-Nya, datanglah belalang, jumlahnya sangat banyak, tidak terbilang.
35 Nzige walikula mboga zao zote za majani katika nchi yao. Walikula mazao yote ardhini.
Mereka melahap semua tanaman di ladang, dan memakan habis seluruh hasil bumi.
36 Aliua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao, malimbuko ya nguvu zao.
Lalu dibunuh-Nya anak laki-laki yang sulung dalam setiap keluarga orang Mesir.
37 Aliwatoa nje Waisraeli wakiwa na fedha na dhahabu; hakuna mmoja wa kabila lake aliyejikwaa njiani.
Kemudian bangsa Israel dihantar-Nya keluar, mereka membawa emas dan perak; semuanya sehat dan kuat.
38 Misri ilifurahi walipoondoka, maana Wamisri waliwaogopa.
Orang Mesir ditimpa rasa takut dan ngeri, jadi mereka senang waktu orang Israel pergi.
39 Alitandaza wingu liwafunike na alifanya moto uwaangazie wakati wa usiku.
Allah membentangkan awan untuk menaungi umat-Nya, dan api untuk penerang di waktu malam.
40 Waisraeli waliomba chakula, naye aliwaletea kware na aliwatosheleza kwa mkate kutoka mbiguni.
Mereka minta, lalu didatangkan-Nya burung puyuh, mereka diberi-Nya roti dari surga sampai kenyang.
41 Aliugawa mwamba, maji yalimwagika kutoka humo; yalitiririka katika jangwa kama mto.
Dibelah-Nya gunung batu, lalu terpancarlah air yang mengalir seperti sungai di padang gurun.
42 Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu aliyoifanya kwa Ibrahimu mtumishi wake.
Sebab TUHAN ingat akan janji-Nya kepada Abraham, hamba-Nya.
43 Aliwaongoza watu wake kwa furaha, wateule wake kwa kelele za ushindi.
Maka dihantar-Nya umat-Nya dengan gembira, orang-orang pilihan-Nya dengan sorak-sorai.
44 Aliwapa nchi za mataifa; walichukua milki ya mali za watu
Tanah bangsa-bangsa diberikan-Nya kepada mereka, ladang-ladang mereka dijadikan milik umat-Nya,
45 ili waweze kushika amri zake na kutii sheria zake. Msifuni Yahwe.
supaya umat-Nya itu taat kepada hukum-hukum-Nya dan mengikuti perintah-perintah-Nya. Pujilah TUHAN! Pujilah TUHAN!

< Zaburi 105 >