< Zaburi 104 >

1 Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote, Ewe Yahwe Mungu wangu, wewe ni mkubwa sana; umevikwa kwa utukufu na enzi.
내 영혼아 여호와를 송축하라 여호와 나의 하나님이여, 주는 심히 광대하시며 존귀와 권위를 입으셨나이다
2 Unajifunika mwenyewe kwa nuru kama kwa mavazi; umetandaza mbingu kama pazia za hema.
주께서 옷을 입음 같이 빛을 입으시며 하늘을 휘장 같이 치시며
3 Umeweka mawinguni mihimili ya vyumba vyako; huyafanya mawingu gari lako; hutembea juu ya mbawa za upepo.
물에 자기 누각의 들보를 얹으시며 구름으로 자기 수레를 삼으시고 바람 날개로 다니시며
4 Yeye huufanya upepo kuwa wajumbe wake, miale ya moto kuwa watumishi wake.
바람으로 자기 사자를 삼으시며 화염으로 자기 사역자를 삼으시며
5 Aliiweka misingi ya nchi, nayo haitahamishwa kamwe.
땅의 기초를 두사 영원히 요동치 않게 하셨나이다
6 Wewe uliifunika nchi kwa maji kama kwa mavazi; maji yalifunika milima.
옷으로 덮음같이 땅을 바다로 덮으시매 물이 산들 위에 섰더니
7 Kukemea kwako kulifanya maji kupungua; kwa sauti ya radi yako yakaondoka kasi.
주의 견책을 인하여 도망하여 주의 우뢰 소리를 인하여 빨리 가서
8 Milima iliinuka, na mabonde yakaenea mahali ambapo wewe ulikwisha pachagua kwa ajili yao.
주의 정하신 처소에 이르렀고 산은 오르고 골짜기는 내려 갔나이다
9 Umeweka mipaka kwa ajili yao ambao hayawezi kuupita; hayawezi kuifunika nchi tena.
주께서 물의 경계를 정하여 넘치지 못하게 하시며 다시 돌아와 땅을 덮지 못하게 하셨나이다
10 Yeye alifanya chemchemi kutiririsha maji mabondeni; mito kutiririka katikati ya milima.
여호와께서 샘으로 골짜기에서 솟아나게 하시고 산 사이에 흐르게 하사
11 Inasambaza maji kwa ajili ya wanyama wote wa shambani; punda wa porini hukata kiu yao.
들의 각 짐승에게 마시우시니 들나귀들도 해갈하며
12 Kandokando ya mito ndege hujenga viota vyao; huimba kati ya matawi.
공중의 새들이 그 가에서 깃들이며 나무가지 사이에서 소리를 발하는도다
13 Humwagilia milima kutoka katika chumba chake cha maji mawinguni. Nchi imejazwa kwa matunda ya kazi yake.
저가 가축을 위한 풀과 사람의 소용을 위한 채소를 자라게 하시며 땅에서 식물이 나게 하시고
14 Huzifanya nyasi kukua kwa ajili ya mifugo na mimea kwa ajili ya binadamu kulima ili kwamba mwanadamu aweze kuzalisha chakula toka nchini.
사람의 마음을 기쁘게 하는 포도주와 사람의 얼굴을 윤택케 하는 기름과 사람의 마음을 힘있게 하는 양식을 주셨도다
15 Hutengeneza mvinyo kumfurahisha mwanadamu, mafuta yakumfanya uso wake ung'ae, na chakula kwa ajili ya kuimarisha uhai wake.
여호와의 나무가 우택에 흡족함이여 곧 그의 심으신 레바논 백향목이로다
16 Miti ya Yahwe hupata mvua nyingi; Mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.
새들이 그 속에 깃을 들임이여 학은 잣나무로 집을 삼는도다
17 Hapo ndege hutengeneza viota vyao. Na korongo, misunobari ni nyuma yake.
높은 산들은 산양을 위함이여 바위는 너구리의 피난처로다
18 Mbuzi mwitu huishi kwenye milima mrefu; na urefu wa milima ni kimilio la wibari.
여호와께서 달로 절기를 정하심이여 해는 그 지는 것을 알도다
19 Aliuchagua mwezi kuweka alama ya majira; jua latambua kuchwa kwake.
주께서 흑암을 지어 밤이 되게 하시니 삼림의 모든 짐승이 기어 나오나이다
20 Wewe hufanya giza la usiku ambapo wanyama wote wa msituni hutoka nje.
젊은 사자가 그 잡을 것을 쫓아 부르짖으며 그 식물을 하나님께 구하다가
21 Wana simba huunguruma kwa ajili ya mawindo na hutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.
해가 돋으면 물러가서 그 굴혈에 눕고
22 Jua linapochomoza, huenda zao na kujilaza mapangoni mwao.
사람은 나와서 노동하며 저녁까지 수고하는도다
23 Wakati huo huo, watu hutoka nje kuelekea kazi zao na utumishi wake mpaka jioni.
여호와여, 주의 하신 일이 어찌 그리 많은지요 주께서 지혜로 저희를 다 지으셨으니 주의 부요가 땅에 가득하니이다
24 Yahwe, ni jinsi gani kazi zako zilivyo nyingi na za aina mbalimbali! Kwa hekima ulizifanya zote; nchi inafurika kwa kazi zako.
저기 크고 넓은 바다가 있고 그 속에 동물 곧 대소 생물이 무수하니이다
25 Kule kuna bahari, yenye kina kirefu na pana, ikiwa na viume vingi visivyo hesabika, vyote vidogo na vikubwa.
선척이 거기 다니며 주의 지으신 악어가 그 속에서 노나이다
26 Meli husafili humo, na ndimo alimo Lewiathani uliye muumba acheze baharini.
이것들이 다 주께서 때를 따라 식물 주시기를 바라나이다
27 Hawa wote hukutazama wewe uwape chakula kwa wakati.
주께서 주신즉 저희가 취하며 주께서 손을 펴신즉 저희가 좋은 것으로 만족하다가
28 Unapowapa chakula, hukusanyika; ufunguapo mkono wako, wanatosheka.
주께서 낯을 숨기신즉 저희가 떨고 주께서 저희 호흡을 취하신즉 저희가 죽어 본 흙으로 돌아가나이다
29 Unapouficha uso wako, wanateseka; ukiiondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi mavumbini.
주의 영을 보내어 저희를 창조하사 지면을 새롭게 하시나이다
30 Unapotuma Roho yako, wanaumbwa, nawe unaifanya upya nchi.
여호와의 영광이 영원히 계속할지며 여호와는 자기 행사로 인하여 즐거워하실지로다
31 Utukufu wa Yahwe na udumu milele; Yahwe na aufurahie uumbaji wake.
저가 땅을 보신즉 땅이 진동하며 산들에 접촉하신즉 연기가 발하도다
32 Yeye hutazama nchi, nayo hutikisika; huigusa milima, nayo hutoa moshi.
나의 평생에 여호와께 노래하며 나의 생존한 동안 내 하나님을 찬양하리로다
33 Nitamwimbia Yahwe maisha yangu yote; nitamwimbia sifa Mungu wangu nigali ninaishi.
나의 묵상을 가상히 여기시기를 바라나니 나는 여호와로 인하여 즐거워하리로다
34 Mawazo yangu na yawe matamu kwake; nitafurahia katika Yahwe.
죄인을 땅에서 소멸하시며 악인을 다시 있지 못하게 하실지로다 내 영혼이 여호와를 송축하라 할렐루야
35 Wenye dhambi na waondoshwe katika nchi, na waovu wasiwepo tena. Ninamsifu Yahwe maisha yangu yote. Msifuni Yahwe.

< Zaburi 104 >