< Zaburi 101 >

1 Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
Ho saboeko ty fiferenaiñañe naho ty fizakàn-to, Ihe ry Iehovà ro isaboako
2 Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
Hambenako ty lalan-kavañonañe; ombia irehe te homb’amako? Handenako an-kazavàn-troke an-trañoko ao.
3 Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
Tsy ampipohako raha tsy manjofake aolo’ o masokoo. hejeko ty sata’ o mpiolao; tsy hipitek’ amako zay.
4 Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
Hitotse ahy ty tro mirioñe; hamoeako ze atao raty.
5 Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
Ze mifosa ondatio, ie ty harotsako; hejeko ty maso miengeñe naho ty troke mikoìboke.
6 Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
Amo migahiñe an-tane atoio o masokoo, hiharoa’ iareo fimoneñañe, hitoroñe ahy ty mañavelo an-kahiti’e.
7 Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
Tsy hitobok’ an-trañoko ao ty mitolom-pamañahiañe; tsy ho tambatse aolo’ o masokoo ty mpivolam-bande.
8 Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.
Ho zamaneko boa-maraindray o lo-tserek’ amy taneio; haitoako ami’ty rova’ Iehovà o mpitolon-katsivokarañeo.

< Zaburi 101 >