< Zaburi 101 >

1 Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
Psaume de David. Je chanterai la bonté et le jugement; à toi, ô Éternel, je psalmodierai.
2 Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
Je veux agir sagement, dans une voie parfaite; – quand viendras-tu à moi? – Je marcherai dans l’intégrité de mon cœur au milieu de ma maison.
3 Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
Je ne mettrai pas devant mes yeux une chose de Bélial; je hais la conduite de ceux qui se détournent: elle ne s’attachera point à moi.
4 Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
Le cœur pervers se retirera d’auprès de moi; je ne connaîtrai pas le mal.
5 Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
Celui qui calomnie en secret son prochain, je le détruirai; celui qui a les yeux hautains et le cœur orgueilleux, je ne le supporterai pas.
6 Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
J’aurai les yeux sur les fidèles du pays, pour les faire habiter avec moi; celui qui marche dans une voie parfaite, lui me servira.
7 Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
Celui qui pratique la fraude n’habitera pas au-dedans de ma maison; celui qui profère des mensonges ne subsistera pas devant mes yeux.
8 Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.
Chaque matin, je détruirai tous les méchants du pays, pour retrancher de la ville de l’Éternel tous les ouvriers d’iniquité.

< Zaburi 101 >