< Zaburi 101 >
1 Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
Na gesami da dafawanedafa dogolegei hou Amola moloidafa fofada: su hou olelesa. Amo na da Hina Gode, Dima nodone gesami hea: le iaha.
2 Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
Na hou amo ganodini giadofai da hamedafa ba: mu. Di da habogala nama misa: bela: ? Na da na sosogo fi amo ganodini, foloai agoane esalumu.
3 Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
Na da na sosogo fi amo ganodini, wadela: i hou dialosa: besa: le, logo hedofamu. Dunu ilia da Godema baligi fa: be, amo ilia hamobe na higasa. Na da ilima hamedafa gilisimu.
4 Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
Na da wadela: i hou hame dawa: mu. Na da wadela: le hamomusa: hame madelamu.
5 Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
Na da dunu amo da eno dunu ea hou wadela: ma: ne sadoga sia: dasea, amo fadegale fasimu. Nowa da hidale hina hou gaguia gadosea, na da amo dunu fadegale fasimu.
6 Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
Nowa da Godema mae fisili fa: no bobogesea, na da ilima hahawane ba: mu, amola ili na hina bagade diasua esaloma: ne sia: mu. Nowa da dafawanedafa moloidafa galea, ilia fawane da na hawa: hamoma: mu.
7 Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
Ogogosu dunu da na hina bagade diasu ganodini hame esalumu. Dabua fawane moloi dunu ilia da na midadi hame esalumu.
8 Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.
Eso huluane na da wadela: i hou hamosu dunu ninia soge ganodini esafulubi ilima gugunufinisisu hou ianumu. Na da wadela: i hou hamosu dunu amo da Hina Gode Ea Moilai Bai Bagade ganodini esafulubi, amo huluane fadegale fasimu.