< Zaburi 10 >
1 Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
¿Por qué estás lejos, oh SEÑOR, y te escondes en los tiempos de la angustia?
2 Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
Con arrogancia el malo persigue al pobre; sean tomados en los pensamientos que pensaron.
3 Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
Por cuanto se alabó el malo del deseo de su alma, y diciendo bien al robador, blasfema del SEÑOR.
4 Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
El malo, por la altivez de su rostro, no busca a Dios. No está Dios en todos sus pensamientos.
5 Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
Sus caminos atormentan en todo tiempo; tus juicios son altura delante de él; echa bocanadas en orden a todos sus enemigos.
6 Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
Dice en su corazón: No seré movido en ningún tiempo, porque no me alcanzará el mal.
7 Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
Llena está su boca de maldición, y de engaños y fraude; debajo de su lengua, molestia y maldad.
8 Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
Está en las guaridas de las aldeas; en los escondrijos mata al inocente; sus ojos están acechando al pobre.
9 Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
Acecha de encubierto, como el león desde su cama; acecha para arrebatar al pobre; arrebata al pobre trayéndolo en su red.
10 Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
Se encoge, se agacha, y caen en sus fuerzas muchos desdichados.
11 Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
Dice en su corazón: Dios está olvidado, ha encubierto su rostro; nunca lo vio.
12 Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
Levántate, oh SEÑOR Dios, alza tu mano, no te olvides de los humildes.
13 Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
¿Por qué irrita el malo a Dios? En su corazón ha dicho que no lo inquirirás.
14 Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
Tú has visto; porque tú miras el trabajo, y el enojo, para dar justicia en tus manos; a ti se acoge el pobre, tú eres el amparo del huérfano.
15 vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
Quebranta el brazo del inicuo; del malo buscarás su maldad, y no la hallarás.
16 Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
El SEÑOR, Rey eterno y perpetuo; de su tierra fueron destruidos los gentiles.
17 Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
El deseo de los humildes oíste, oh SEÑOR; tú dispones su corazón, y haces atento tu oído;
18 Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.
para juzgar al huérfano y al pobre; no volverá más a hacer violencia el hombre de la tierra.