< Zaburi 10 >

1 Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
. Pourquoi, Seigneur, vous êtes-vous retiré au loin, et avez-vous détourné de moi vos regards au temps du besoin, dans la tribulation?
2 Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
. Pendant que l’impie s’enorgueillit, le pauvre est persécuté avec ardeur; ils sont pris dans les projets qu’ils forment.
3 Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
. Parce que le pécheur est loué dans les désirs de son âme, et que le méchant est béni.
4 Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
. Le pécheur a irrité le Seigneur; il ne se mettra pas en peine de la grandeur de sa colère.
5 Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
. Dieu n’est point devant ses yeux; ses voies sont souillées en tout temps. Vos jugements sont ôtés de devant sa vue; il dominera tous ses ennemis.
6 Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
. Car il a dit dans son cœur: Je ne serai point ébranlé; de génération en génération je serai sans aucun mal.
7 Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
. Sa bouche est pleine de malédiction, d’amertume et de fraude: sous sa langue sont le travail et la douleur.
8 Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
. Il est assis en embuscade avec les riches, dans des lieux cachés, afin de tuer l’innocent.
9 Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
. Ses yeux observent le pauvre: il lui dresse des embûches dans le secret, comme un lion dans sa caverne. Il dresse des embûches pour prendre le pauvre; pour prendre le pauvre, tandis qu’il l’attire.
10 Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
. Quand il l’aura dans son filet, il le renversera, il s’inclinera, et tombera, lorsqu’il se sera rendu maître des pauvres.
11 Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
. Car il a dit dans son cœur: Dieu a perdu le souvenir, il a détourné sa face pour ne rien voir à jamais.
12 Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
. Levez-vous, Seigneur Dieu, que votre main s’élève: n’oubliez pas les pauvres.
13 Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
. Pourquoi l’impie a-t-il irrité Dieu? C’est qu’il a dit dans son cœur: Il n’en recherchera pas la vengeance.
14 Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
. Vous le voyez; car vous considérez le travail et la douleur, afin de livrer les oppresseurs entre vos mains. Le pauvre vous est abandonné; c’est vous qui serez le protecteur de l’orphelin.
15 vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
. Brisez le bras du pécheur et du méchant; l’on cherchera son péché, et on ne le trouvera pas.
16 Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
. Le Seigneur régnera éternellement et dans les siècles des siècles: nations, vous serez exterminées de la terre.
17 Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
. Le Seigneur a exaucé le désir des pauvres: votre oreille a entendu la préparation de leur cœur:
18 Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.
. Afin de rendre justice à l’orphelin et au faible, afin que l’homme cesse de s’élever d’orgueil sur la terre.

< Zaburi 10 >