< Zaburi 10 >

1 Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
to/for what? LORD to stand: stand in/on/with distant to conceal to/for time dearth
2 Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
in/on/with pride wicked to burn/pursue afflicted to capture in/on/with plot this to devise: devise
3 Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
for to boast: boast wicked upon desire soul his and to cut off: to gain to bless to spurn LORD
4 Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
wicked like/as height face his not to seek nothing God all plot his
5 Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
be firm (way: conduct his *Q(k)*) in/on/with all time height justice: judgement your from before him all to vex him to breathe in/on/with them
6 Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
to say in/on/with heart his not to shake to/for generation and generation which not in/on/with bad: evil
7 Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
oath lip his to fill and deceit and oppression underneath: under tongue his trouble and evil: wickedness
8 Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
to dwell in/on/with ambush village in/on/with hiding to kill innocent eye his to/for helpless to treasure
9 Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
to ambush in/on/with hiding like/as lion in/on/with lair his to ambush to/for to catch afflicted to catch afflicted in/on/with to draw he in/on/with net his
10 Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
(to crush *Q(K)*) to bow and to fall: fall in/on/with mighty his (strength: soldiers disheartened *Q(K)*)
11 Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
to say in/on/with heart his to forget God to hide face his not to see: see to/for perpetuity
12 Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
to arise: rise [emph?] LORD God to lift: vow hand: vow your not to forget (poor *Q(K)*)
13 Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
upon what? to spurn wicked God to say in/on/with heart his not to seek
14 Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
to see: see for you(m. s.) trouble and vexation to look to/for to give: give in/on/with hand your upon you to leave: forsake helpless orphan you(m. s.) to be to help
15 vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
to break arm wicked and bad: evil to seek wickedness his not to find
16 Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
LORD king forever: enduring and perpetuity to perish nation from land: country/planet his
17 Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
desire poor to hear: hear LORD to establish: establish heart their to listen ear your
18 Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.
to/for to judge orphan and crushed not to add: again still to/for to tremble human from [the] land: country/planet

< Zaburi 10 >