< Zaburi 10 >
1 Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
Why standest thou afar off, O LORD? why hidest thou thyself in times of trouble?
2 Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
In the pride of the wicked the poor is hotly pursued; let them be taken in the devices that they have imagined.
3 Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
For the wicked boasteth of his heart’s desire, and the covetous renounceth, [yea], contemneth the LORD.
4 Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
The wicked, in the pride of his countenance, [saith], He will not require [it]. All his thoughts are, There is no God.
5 Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
His ways are firm at all times; thy judgments are far above out of his sight: as for all his adversaries, he puffeth at them.
6 Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
He saith in his heart, I shall not be moved: to all generations I shall not be in adversity.
7 Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
His mouth is full of cursing and deceit and oppression: under his tongue is mischief and iniquity.
8 Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
He sitteth in the lurking places of the villages: in the covert places doth he murder the innocent: his eyes are privily set against the helpless.
9 Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
He lurketh in the covert as a lion in his den: he lieth in wait to catch the poor: he doth catch the poor, when he draweth him in his net.
10 Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
He croucheth, he boweth down, and the helpless fall by his strong ones.
11 Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
He saith in his heart, God hath forgotten: he hideth his face; he will never see it.
12 Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
Arise, O LORD; O God, lift up thine hand: forget not the poor.
13 Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
Wherefore doth the wicked contemn God, and say in his heart, Thou wilt not require [it]?
14 Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
Thon hast seen [it]; for thou beholdest mischief and spite, to take it into thy hand: the helpless committeth [himself] unto thee; thou hast been the helper of the fatherless.
15 vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
Break thou the arm of the wicked; and as for the evil man, seek out his wickedness till thou find none.
16 Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
The LORD is King for ever and ever: the nations are perished out of his land.
17 Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
LORD, thou hast heard the desire of the meek: thou wilt prepare their heart, thou wilt cause thine ear to hear:
18 Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.
To judge the fatherless and the oppressed, that man which is of the earth may be terrible no more.