< Mithali 1 >
1 Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.
Ordtøke av Salomo, son til David, konge yver Israel.
2 Mithali hizi zinafundisha hekima na maarifa, kufundisha maneno ya busara,
Av deim kann ein læra visdom og age og skyna vituge ord.
3 ili mpate maarifa kwa ajili ya kuishi kwa kutenda wema, haki na adili.
Og få age so ein vert klok, rettferd og rett og rettvisa.
4 Mithali hizi zinatoa hekima kwa wale ambao hawakufunzwa, na kuwapa vijana maarifa na hadhari.
Dei kann gjeva dei urøynde klokskap, ungdomen kunnskap og ettertanke -
5 Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao na watu wenye ufahamu wapate mwongozo,
so den vise kann høyra og auka sin lærdom og den vituge verta rådklok.
6 kwa kuelewa mithali, misemo, vitendawili na maneno ya wenye busara.
Dei gjev skyn på ordtak og myrke ord, ord frå dei vise og gåtorne deira.
7 Hofu ya Yehova ni chanzo cha maarifa- wapumbavu hudharau hekima na nidhamu.
Otte for Herren er upphav til kunnskap, uvitingar vanvyrder visdom og age.
8 Mwanangu, sikia fundisho la baba yako na wala usiziache kanuni za mama yako;
Høyr etter, son min, når far din deg agar, og kasta’kje frå deg det mor di deg lærer!
9 zitakuwa kilemba cha neema katika kichwa chako na jebu zinazoning'inia kwenye shingo yako.
For det er ein yndeleg krans for ditt hovud, og kjedor kring halsen din.
10 Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi katika dhambi zao, kataa kuwafuata.
Son min, når syndarar lokkar deg, samtykk ikkje!
11 Kama watasema, “haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.
Um dei segjer: «Kom med oss! Me vil lura etter blod, setja fella for den skuldlause utan grunn;
12 Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol )
Me vil gløypa deim som helheimen livande, og heile som når dei fer i gravi; (Sheol )
13 Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
Me vinna oss alle slag skattar, og fyller husi våre med rov;
14 Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”
du skal få lutskifte saman med oss, alle skal me ha same pungen.» -
15 Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao;
Son min, gakk ikkje då på vegen med deim, haldt foten din burte frå deira stig!
16 miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu.
For føterne deira spring til vondt og er snøgge til å renna ut blod.
17 Kwa kuwa haina maana kumtegea ndege mtego wakati ndege anaona.
Men fåfengt breier dei netet for augo på alle fuglar.
18 Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
Dei lurer på sitt eige blod og set eit garn for sitt eige liv.
19 Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
So gjeng det kvar som riv til seg med ran, det drep sin eigen herre.
20 Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
Vismøyi ropar på gata og lyfter si røyst på torgi.
21 katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema “
På gatehyrna preikar ho midt i ståket, i porthallar og kring i byen ho talar:
22 Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
«Kor lenge vil de fåkunnige elska fåkunna, og kor lenge vil spottarar ha hug til spott, og dårar hata kunnskap?
23 Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
Snu dykk hit når eg refser! So skal åndi mi fløyma for dykk, og eg skal kunngjera dykk mine ord.
24 Nimeita, nanyi mkakataa kusikiliza; nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyezingatia.
Eg ropa og de vilde ikkje høyra, og ingen agta på at eg rette ut handi,
25 Lakini mumedharau mafundisho yangu yote na wala hamkuzingatia maelekezo yangu.
De brydde dykk ei um all mi råd, og ansa ikkje mitt refsings ord,
26 Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu-
So skal eg då læ når de ulukka fær, eg skal spotta når det som de ræddast kjem,
27 hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
når det de ræddast kjem som eit uver, og uferdi dykkar fer hit som ein storm, når trengsla og naud kjem på dykk.
28 Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
Då vil eg ikkje svara når de ropar på meg, dei skal naudleita etter meg, men ikkje finna meg.
29 Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
Av di dei hata kunnskap og forsmådde otte for Herren,
30 hawakufuata mafundisho yangu na wakayadharau masahihisho yangu yote.
ikkje lydde på mi råd, vanyrde all mi påminning,
31 Watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa kwa matunda ya hila zao wenyewe.
skal dei eta frukt av si åtferd og verta mette av sine råder.
32 kwa maana wajinga hufa wanaporudi nyuma, na kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza.
For einvisa drep dei einfaldne, og tryggleiken dårarne tyner.
33 Bali kila anisikilizaye ataishi kwa usalama na atapumzika salama pasipo hofu ya maafa.
Men den bur trygt, som høyrer på meg, verna um ulukke-rædsla.»