< Mithali 1 >

1 Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.
Salamana, Dāvida dēla, Israēla ķēniņa, sakāmie vārdi,
2 Mithali hizi zinafundisha hekima na maarifa, kufundisha maneno ya busara,
Atzīt gudrību un mācību, un saprast prātīgu valodu,
3 ili mpate maarifa kwa ajili ya kuishi kwa kutenda wema, haki na adili.
Pieņemties apdomībā, taisnībā, tiesā un skaidrībā,
4 Mithali hizi zinatoa hekima kwa wale ambao hawakufunzwa, na kuwapa vijana maarifa na hadhari.
Ka tiem vēl nejēgām tiek samaņa, jauniem atzīšana un apdomīgs prāts.
5 Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao na watu wenye ufahamu wapate mwongozo,
Kas gudrs, klausīs un pieaugs mācībā, un kas prātīgs, ņemsies labus padomus,
6 kwa kuelewa mithali, misemo, vitendawili na maneno ya wenye busara.
Ka izprot sakāmus vārdus un mīklas, gudro valodas un viņu dziļos vārdus.
7 Hofu ya Yehova ni chanzo cha maarifa- wapumbavu hudharau hekima na nidhamu.
Tā Kunga bijāšana ir atzīšanas iesākums; gudrību un mācību ģeķi nicina.
8 Mwanangu, sikia fundisho la baba yako na wala usiziache kanuni za mama yako;
Klausi, mans bērns, sava tēva pārmācībai un nepamet savas mātes mācību;
9 zitakuwa kilemba cha neema katika kichwa chako na jebu zinazoning'inia kwenye shingo yako.
Jo tas ir jauks krāšņums tavai galvai un zelta rota tavam kaklam.
10 Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi katika dhambi zao, kataa kuwafuata.
Mans bērns, kad grēcinieki tevi vilina, tad neklausi!
11 Kama watasema, “haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.
Kad tie saka: „Nāc mums līdz, glūnēsim uz asinīm, glūnēsim uz nenoziedzīgo par nepatiesu!
12 Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol h7585)
Kā elle norīsim viņus dzīvus, un sirds skaidrus kā tādus, kas bedrē grimst. (Sheol h7585)
13 Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
Mēs atradīsim visādas dārgas mantas, pildīsim savus namus ar laupījumu.
14 Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”
Tava daļa tev būs mūsu starpā, viens pats maks būs mums visiem.“
15 Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao;
Mans bērns, nestaigā vienā ceļā ar tiem; sargi savu kāju no viņu pēdām;
16 miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu.
Jo viņu kājas skrien uz ļaunu un steidzās asinis izliet.
17 Kwa kuwa haina maana kumtegea ndege mtego wakati ndege anaona.
Bet lai arī tīklu izplāta visiem putniem priekš acīm; tas ir par velti!
18 Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
Tā arī viņi glūn uz savām pašu asinīm un glūn uz savu pašu dzīvību.
19 Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
Tā iet visiem, kas plēš netaisnu mantu; kam šī ir, tam tā paņem dzīvību.
20 Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
Dieva gudrība skaņi sauc uz lielceļiem, uz ielām tā paceļ savu balsi;
21 katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema “
Tā izsaucās, kur ļaužu vislielais troksnis; kur ieiet pilsētas vārtos, tā runā savu valodu:
22 Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
Cik ilgi, nejēgas, jūs mīlēsiet nejēdzību, un smējējiem gribēsies apsmiet, un ģeķi ienīdēs atzīšanu?
23 Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
Griežaties pie manas mācības! Redzi, es jums došu savu garu un jums darīšu zināmus savus vārdus.
24 Nimeita, nanyi mkakataa kusikiliza; nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyezingatia.
Tādēļ nu, ka es aicināju, un jūs liedzaties, ka savu roku izstiepju, un nav, kas uzklausa,
25 Lakini mumedharau mafundisho yangu yote na wala hamkuzingatia maelekezo yangu.
Un jūs visu manu padomu atmetiet un manas pārmācības negribiet;
26 Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu-
Tādēļ arī es smiešos par jūsu postu, es smiešos, kad jums izbailes uzies,
27 hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
Kad pār jums izbailes nāks kā auka, un posts jums uzbruks kā vētra, kad briesmas un bailes jums uzies.
28 Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
Tad tie mani sauks, bet es neatbildēšu, tie mani meklēs agri, bet mani neatradīs,
29 Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
Tādēļ ka tie atzīšanu ienīdējuši un Tā Kunga bijāšanu nav pieņēmuši.
30 hawakufuata mafundisho yangu na wakayadharau masahihisho yangu yote.
Tiem negribējās mana padoma, tie ir nicinājuši visu manu pārmācīšanu;
31 Watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa kwa matunda ya hila zao wenyewe.
Tādēļ tie ēdīs no sava ceļa augļiem, un būs paēduši no saviem padomiem.
32 kwa maana wajinga hufa wanaporudi nyuma, na kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza.
Jo nesaprašu nomaldīšanās tos nokauj, un ģeķu pārdrošība tos nomaitā.
33 Bali kila anisikilizaye ataishi kwa usalama na atapumzika salama pasipo hofu ya maafa.
Bet kas mani klausa, tas dzīvos droši, un savā mierā tas ļauna nebīsies.

< Mithali 1 >