< Mithali 9 >
1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Mądrość zbudowała sobie dom [i] wyciosała siedem słupów;
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
Zabiła swoje bydło, zmieszała wino i zastawiła stół;
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
Rozesłała swoje służące, woła na szczytach najwyższych miejsc miasta:
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Ktokolwiek jest prostym, niech wstąpi; [a] do nierozumnego mówi:
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Chodźcie, jedzcie mój chleb i pijcie wino, które zmieszałam.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Porzućcie głupotę, a będziecie żyli, i chodźcie drogą roztropności.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Kto upomina szydercę, ściąga na siebie hańbę, a kto strofuje niegodziwego, ten się plami.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Nie strofuj szydercy, aby cię nie znienawidził; strofuj mądrego, a będzie cię miłował.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Upomnij mądrego, a będzie mądrzejszy; poucz sprawiedliwego, a pomnoży swą wiedzę.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
Początkiem mądrości [jest] bojaźń PANA, a wiedza o tym, co święte, to rozum.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Bo dzięki mnie rozmnożą się twoje dni i przedłużą się lata [twojego] życia.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Jeśli będziesz mądry, tobie samemu będzie [służyła] twoja mądrość; a jeśli szydercą, sam poniesiesz szkodę.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Głupia kobieta [jest] wrzaskliwa, prosta i nic nie rozumie;
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
Siedzi u drzwi swego domu, na krześle, na wysokich miejscach w mieście;
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
Aby wołać na przechodzących, którzy idą prosto swoimi ścieżkami:
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Ktokolwiek jest prosty, niech wstąpi; a do nierozumnego mówi:
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
Kradzione wody są słodkie, a chleb jedzony pokątnie smaczny.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )
Ale [on] nie wie, że tam są umarli, że jej zaproszeni [są] w głębinach piekła. (Sheol )