< Mithali 9 >
1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Mądrość zbudowała dom swój, i wyciosała siedm słupów swoich;
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
Pobiła bydło swoje, roztworzyła wino swoje, i stół swój przygotowała;
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
A rozesłała dzieweczki swoje, woła na wierzchach najwyższych miejsc w mieście, mówiąc:
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Ktokolwiek jest prostakiem, wstąp sam; a do głupich mówi:
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Pójdźcie, jedzcie chleb mój, i pijcie wino, którem roztworzyła.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Opuśćcie prostotę, a będziecie żyli, a chodźcie drogą roztropności.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Kto strofuje naśmiewcę, odnosi hańbę; a kto strofuje niezbożnika, odnosi zelżywość.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Nie strofuj naśmiewcy, aby cię nie miał w nienawiści; strofuj mądrego, a będzie cię miłował.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Uczyń to mądremu, a mędrszym będzie; naucz sprawiedliwego, a będzie umiejętniejszym.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
Początek mądrości jest bojaźń Pańska, a umiejętność świętych jest rozum.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Bo przez mię rozmnożą się dni twoje, i przedłużą się lata żywota.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Będzieszli mądrym, sobie będziesz mądrym; a jeźli naśmiewcą, ty sam szkodę odniesiesz.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Niewiasta głupia świegotliwa jest, prostaczka, i nic nieumiejąca;
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
A siedzi u drzwi domu swego na stołku, na miejscach wysokich w mieście,
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
Aby wołała na idących drogą, którzy prosto idą ścieszkami swemi, mówiąc:
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Ktokolwiek jest prostakiem, wstąp sam; a do głupiego mówi:
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
Wody kradzione słodsze są, a chleb pokątny smaczniejszy.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )
Ale prostak nie wie, że tam są umarli, a ci, których wezwała, są w głębokościach grobu. (Sheol )