< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
La sagesse s’est bâtie une maison, elle a taillé sept colonnes.
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
Elle a immolé ses victimes, mêlé le vin et dressé sa table.
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
Elle a envoyé ses servantes pour appeler ses conviés, à la forteresse et aux murs de la cité:
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Si quelqu’un est tout petit, qu’il vienne à moi. Et à des insensés elle a dit:
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Venez, mangez mon pain, et buvez le vin que je vous ai mêlé.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Quittez l’enfance, et vivez, et marchez par les voies de la prudence.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Celui qui instruit un railleur se fait injure à lui-même; et celui qui reprend un impie se crée une tache.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Ne reprends pas un railleur, de peur qu’il ne te haïsse. Reprends un sage, et il t’aimera.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Donne à un sage une occasion, et il recevra un surcroît de sagesse. Enseigne un juste, et il se hâtera de recevoir l’instruction.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
Le principe de la sagesse est la crainte du Seigneur; et la science des saints est la prudence.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Car par moi seront multipliés tes jours, et te seront données des années de vie.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Si tu es sage, c’est pour toi-même que tu le seras; mais si tu es moqueur, seul, tu en porteras le mal.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Une femme insensée, criarde, pleine d’attraits et ne sachant absolument rien,
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
S’est assise à la porte de sa maison, sur un siège, en un lieu élevé de la ville,
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
Afin d’appeler ceux qui passent par la voie, et qui poursuivent leur chemin:
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Que celui qui est tout petit se détourne et vienne vers moi. Et elle a dit à un jeune homme sans cœur:
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
Des eaux dérobées sont plus douces, et un pain caché est plus suave.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Et il ignore que là sont des géants, et que dans les profondeurs de l’enfer sont ses convives. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >