< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
Wisdom bildide an hous to him silf; he hewide out seuene pileris,
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
he offride his slayn sacrifices, he medlide wijn, and settide forth his table.
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
He sente hise handmaides, that thei schulden clepe to the tour; and to the wallis of the citee.
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
If ony man is litil; come he to me. And wisdom spak to vnwise men,
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Come ye, ete ye my breed; and drynke ye the wiyn, which Y haue medlid to you.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Forsake ye yong childhed, and lyue ye; and go ye bi the weyes of prudence.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
He that techith a scornere, doith wrong to him silf; and he that vndirnymmeth a wickid man, gendrith a wem to him silf.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Nile thou vndirnyme a scornere; lest he hate thee. Vndirnyme thou a wise man; and he schal loue thee.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Yyue thou occasioun to a wise man; and wisdom schal be encreessid to hym. Teche thou a iust man; and he schal haste to take.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
The bigynnyng of wisdom is the dreed of the Lord; and prudence is the kunnyng of seyntis.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
For thi daies schulen be multiplied bi me; and yeeris of lijf schulen be encreessid to thee.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
If thou art wijs; thou schalt be to thi silf, and to thi neiyboris. Forsothe if thou art a scornere; thou aloone schalt bere yuel.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
A fonned womman, and ful of cry, and ful of vnleueful lustis, and that kan no thing outirli,
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
sittith in the doris of hir hous, on a seete, in an hiy place of the cite;
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
to clepe men passinge bi the weie, and men goynge in her iournei.
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Who is a litil man `of wit; bowe he to me. And sche spak to a coward,
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
Watris of thefte ben swettere, and breed hid is swettere.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
And wiste not that giauntis ben there; and the gestis `of hir ben in the depthis of helle. Sotheli he that schal be applied, ether fastned, to hir; schal go doun to hellis. For whi he that goith awei fro hir; schal be saued. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >