< Mithali 9 >

1 Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
De opperste Wijsheid heeft Haar huis gebouwd; Zij heeft Haar zeven pilaren gehouwen.
2 Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
Zij heeft Haar slachtvee geslacht. Zij heeft Haar wijn gemengd; ook heeft Zij Haar tafel toegericht.
3 Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
Zij heeft Haar dienstmaagden uitgezonden; Zij nodigt op de tinnen van de hoogten der stad:
4 “Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
Wie is slecht? Hij kere zich herwaarts! Tot de verstandeloze zegt Zij:
5 Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
Komt, eet van Mijn brood, en drinkt van den wijn, dien Ik gemengd heb.
6 Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
Verlaat de slechtigheden, en leeft; en treedt in den weg des verstands.
7 Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
Wie den spotter tuchtigt, behaalt zich schande; en die den goddeloze bestraft, zijn schandvlek.
8 Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
Bestraf den spotter niet, opdat hij u niet hate; bestraf den wijze, en hij zal u liefhebben.
9 Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
Leer den wijze, zo zal hij nog wijzer worden; onderwijs den rechtvaardige, zo zal hij in leer toenemen.
10 Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
De vreze des HEEREN is het beginsel der wijsheid, en de wetenschap der heiligen is verstand.
11 Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
Want door Mij zullen uw dagen vermenigvuldigen, en de jaren des levens zullen u toegedaan worden.
12 Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
Indien gij wijs zijt, gij zijt wijs voor uzelven; en zijt gij een spotter, gij zult het alleen dragen.
13 Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
Een zotte vrouw is woelachtig, de slechtigheid zelve, en weet niet met al.
14 Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
En zij zit aan de deur van haar huis, op een stoel, op de hoge plaatsen der stad;
15 Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
Om te roepen degenen, die op den weg voorbijgaan, die hun paden recht maken, zeggende:
16 Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
Wie is slecht? Hij kere zich herwaarts; en tot den verstandeloze zegt zij:
17 Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
De gestolen wateren zijn zoet, en het verborgen brood is liefelijk.
18 Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Maar hij weet niet, dat aldaar doden zijn; haar genoden zijn in de diepten der hel. (Sheol h7585)

< Mithali 9 >