< Mithali 8 >

1 Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
Bilgelik çağırıyor, Akıl sesini yükseltiyor.
2 Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
Yol kenarındaki tepelerin başında, Yolların birleştiği yerde duruyor o.
3 Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
Kentin girişinde, kapıların yanında, Sesini yükseltiyor:
4 Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
“Ey insanlar, size sesleniyorum, Çağrım insan soyunadır!
5 Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
Ey bön kişiler, ihtiyatlı olmayı öğrenin; Sağduyulu olmayı öğrenin, ey akılsızlar!
6 Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
Söylediğim yetkin sözleri dinleyin, Ağzımı doğruları söylemek için açarım.
7 Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
Ağzım gerçeği duyurur, Çünkü dudaklarım kötülükten iğrenir.
8 Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
Ağzımdan çıkan her söz doğrudur, Yoktur eğri ya da sapık olanı.
9 Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
Apaçıktır hepsi anlayana, Bilgiye erişen, doğruluğunu bilir onların.
10 Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
Gümüş yerine terbiyeyi, Saf altın yerine bilgiyi edinin.
11 Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
Çünkü bilgelik mücevherden değerlidir, Dilediğin hiçbir şey onunla kıyaslanamaz.
12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
Ben bilgelik olarak ihtiyatı kendime konut edindim. Bilgi ve sağgörü bendedir.
13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
RAB'den korkmak kötülükten nefret etmek demektir. Kibirden, küstahlıktan, Kötü yoldan, sapık ağızdan nefret ederim.
14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
Öğüt ve sağlam karar bana özgüdür. Akıl ve güç kaynağı benim.
15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
Krallar sayemde egemenlik sürer, Hükümdarlar adil kurallar koyar.
16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
Önderler, adaletle yöneten soylular Sayemde yönetirler.
17 Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
Beni sevenleri ben de severim, Gayretle arayan beni bulur.
18 Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
Zenginlik ve onur, Kalıcı değerler ve bolluk bendedir.
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
Meyvem altından, saf altından, Ürünüm seçme gümüşten daha iyidir.
20 Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
Doğruluk yolunda, Adaletin izinden yürürüm.
21 katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
Böylelikle, beni sevenleri servet sahibi yapar, Hazinelerini doldururum.
22 Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
RAB yaratma işine başladığında İlk beni yarattı,
23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
Dünya var olmadan önce, Ta başlangıçta, öncesizlikte yerimi aldım.
24 Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
Enginler yokken, Suları bol pınarlar yokken doğdum ben.
25 Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
Dağlar daha oluşmadan, Tepeler belirmeden, RAB dünyayı, kırları Ve dünyadaki toprağın zerresini yaratmadan doğdum.
26 Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
27 Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
RAB gökleri yerine koyduğunda oradaydım, Engin denizleri ufukla çevirdiğinde,
28 Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
Bulutları oluşturduğunda, Denizin kaynaklarını güçlendirdiğinde,
29 Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
Sular buyruğundan öte geçmesinler diye Denize sınır çizdiğinde, Dünyanın temellerini pekiştirdiğinde,
30 Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
Baş mimar olarak O'nun yanındaydım. Gün be gün sevinçle dolup taştım, Huzurunda hep coştum.
31 Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
O'nun dünyası mutluluğum, İnsanları sevincimdi.
32 Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
Çocuklarım, şimdi beni dinleyin: Yolumu izleyenlere ne mutlu!
33 Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
Uyarılarımı dinleyin ve bilge kişiler olun, Görmezlikten gelmeyin onları.
34 Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
Beni dinleyen, Her gün kapımı gözleyen, Kapımın eşiğinden ayrılmayan kişiye ne mutlu!
35 Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
Çünkü beni bulan yaşam bulur Ve RAB'bin beğenisini kazanır.
36 Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.
Beni gözardı edense kendine zarar verir, Benden nefret eden, ölümü seviyor demektir.”

< Mithali 8 >