< Mithali 8 >
1 Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
¿No está la sabiduría clamando, y la voz de la inteligencia sonando?
2 Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
En la parte superior de las autopistas, en la intersección de las carreteras, ella toma su lugar;
3 Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
Cuando los caminos entran a la ciudad, se hace oír su grito, en las puertas su voz es fuerte:
4 Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
A ustedes les llamo, oh hombres; mi voz llegue a los hijos de los hombres.
5 Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
Conviértanse en expertos en la razón, ¡oh, simples! ustedes tontos, tomen el entrenamiento de corazón.
6 Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
Escuchen, porque mis palabras son verdaderas, y mis labios están abiertos para dar a conocer lo recto.
7 Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
Porque la buena fe sale de mi boca, y los labios falsos me repugnan.
8 Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
Todas las palabras de mi boca son justicia; no hay nada falso o retorcido en ellas.
9 Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
Todas ellas son verdad a cuya mente está despierta, y directas para aquellos que obtienen conocimiento.
10 Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
Toma mi enseñanza, y no plata; obtén conocimiento en lugar del mejor oro.
11 Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
Porque la sabiduría es mejor que las joyas, y todas las cosas que se desean no son nada en comparación con ella.
12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
Yo, la sabiduría, he convertido la conducta sabia en mi pariente cercano; Me ven como el amigo especial de los propósitos sabios.
13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
El temor del Señor se ve al odiar el mal: el orgullo, una alta opinión de uno mismo, el mal camino y la falsa lengua, me son desagradables.
14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
El diseño inteligente y el buen sentido son míos; la razón y la fuerza son mías.
15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
A través de mí los reyes tienen su poder, y los gobernantes dan las decisiones correctas.
16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
A través de mí, los jefes tienen autoridad, y los nobles juzgan en justicia.
17 Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
Los que me han dado su amor son amados por mí, y aquellos que me buscan con cuidado me hallarán.
18 Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
La riqueza y el honor están en mis manos, incluso la riqueza sin igual y la justicia.
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
Mejor es mi fruto que el oro, que el mejor oro; y mi aumento es más deseado que la plata.
20 Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
En el camino de la justicia voy, en el camino de los juicios justos,
21 katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
pues daré a los que me aman riquezas por su herencia, haciendo llenas sus tiendas.
22 Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
El Señor me hizo el comienzo de su camino, la primera de sus obras en el pasado.
23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
Desde los días eternos, me fue dado mi lugar, desde el nacimiento de los tiempos, antes que la tierra fuese.
24 Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
Cuando no había fondo, me dieron a luz, cuando no había fuentes que fluyeran con agua.
25 Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
Antes que pusiera los montes en su lugar, antes de que nacieran las colinas,
26 Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
cuando no había hecho la tierra, ni los campos, ni el polvo del mundo.
27 Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
Cuando preparó los cielos, yo estaba allí: cuando puso un arco sobre la faz del abismo:
28 Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
Cuando hizo fuertes los cielos arriba: cuando las fuentes del abismo se fijaron:
29 Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
Cuando puso un límite al mar, para que las aguas no vayan en contra de su palabra: cuando puso en posición las bases de la tierra:
30 Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
Entonces yo estaba a su lado, como un maestro de obras; y yo era su deleite día tras día, tocando delante de él en todo el tiempo;
31 Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
Jugando en su tierra; y mi deleite fue con los hijos de los hombres.
32 Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
Escúchenme, hijos míos, porque son felices los que guardan mis caminos.
33 Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
Tomen ustedes mi enseñanza y háganse sabio; no la dejen ir.
34 Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
Bienaventurado el hombre que me presta atención, mirando a mis puertas día tras día, manteniendo su lugar junto a las columnas de mi casa.
35 Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
Porque él que me recibe, obtiene vida, y la gracia del Señor vendrá a él.
36 Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.
Pero él que se aparta de mí, hace mal a su alma: todos mis enemigos están enamorados de la muerte.