< Mithali 8 >

1 Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
Por acaso a sabedoria não clama, e a inteligência não solta sua voz?
2 Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
Nos lugares mais altos, junto ao caminho, nas encruzilhadas das veredas, ela se põe.
3 Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
Ao lado das portas, à entrada da cidade; na entrada dos portões, ela grita:
4 Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
Varões, eu vos clamo; [dirijo] minha voz aos filhos dos homens.
5 Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
Vós que sois ingênuos, entendei a prudência; e vós que sois loucos, entendei [de] coração.
6 Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
Ouvi, porque falarei coisas nobres; e abro meus lábios para a justiça.
7 Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
Porque minha boca declarará a verdade; e meus lábios abominam a maldade.
8 Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
Todas as coisas que digo com minha boca são justas; não há nelas coisa alguma [que seja] distorcida ou perversa.
9 Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
Todas elas são corretas para aquele que as entende; e justas para os que encontram conhecimento.
10 Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
Aceitai minha correção, e não prata; e o conhecimento mais que o ouro fino escolhido.
11 Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
Porque a sabedoria é melhor do que rubis; e todas as coisas desejáveis nem sequer podem ser comparadas a ela.
12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
Eu, a Sabedoria, moro com a Prudência; e tenho o conhecimento do conselho.
13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
O temor ao SENHOR é odiar o mal: a soberba e a arrogância, o mal caminho e a boca perversa, eu [os] odeio.
14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
A mim pertence o conselho e a verdadeira sabedoria; eu [tenho] prudência e poder.
15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
Por meio de mim os reis governam, e os príncipes decretam justiça.
16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
Por meio de mim os governantes dominam; e autoridades, todos os juízes justos.
17 Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
Eu amo os que me amam; e os que me buscam intensamente me acharão.
18 Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
Bens e honra estão comigo; [assim como] a riqueza duradoura e a justiça.
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
Meu fruto é melhor que o ouro, melhor que o ouro refinado; e meus produtos melhores que a prata escolhida.
20 Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
Eu faço andar pelo caminho da justiça, no meio das veredas do juízo;
21 katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
Para eu dar herança aos que me amam, e encher seus tesouros.
22 Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
O SENHOR me adquiriu no princípio de seu caminho; desde antes de suas obras antigas.
23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
Desde a eternidade eu fui ungida; desde o princípio; desde antes do surgimento da terra.
24 Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
Quando ainda não havia abismos, eu fui gerada; quando ainda não havia fontes providas de muitas águas.
25 Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
Antes que os montes fossem firmados; antes dos morros, eu fui gerada.
26 Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
Quando ele ainda não tinha feito a terra, nem os campos; nem o princípio da poeira do mundo.
27 Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
Quando preparava os céus, ali eu estava; quando ele desenhava ao redor da face do abismo.
28 Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
Quando firmava as nuvens de cima, quando fortificava as fontes do abismo.
29 Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
Quando colocava ao mar o seu limite, para que as águas não ultrapassassem seu mandado; quando estabelecia os fundamentos da terra.
30 Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
Então eu estava com ele como um pupilo; e eu era seu agrado a cada dia, alegrando perante ele em todo tempo.
31 Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
Alegrando na habitação de sua terra; e [concedendo] meus agrados aos filhos dos homens.
32 Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
Portanto agora, filhos, ouvi-me; porque bem-aventurados serão [os que] guardarem meus caminhos.
33 Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
Ouvi a correção, e sede sábios; e não a rejeiteis.
34 Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
Bem-aventurado [é] o homem que me ouve; que vigia em minhas portas diariamente, que guarda as ombreiras de minhas entradas.
35 Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
Porque aquele que me encontrar, encontrará a vida; e obterá o favor do SENHOR.
36 Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.
Mas aquele que pecar contra mim fará violência à sua [própria] alma; todos os que me odeiam amam a morte.

< Mithali 8 >