< Mithali 8 >

1 Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
آیا ندای حکمت را نمی‌شنوید و به آواز بصیرت گوش نمی‌دهید؟
2 Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
حکمت دم دروازه‌های شهر و سر چهارراه‌ها و جلوی در هر خانه‌ای ایستاده، می‌گوید:
3 Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
4 Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
«ای مردم، شما را صدا می‌زنم.
5 Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
ای انسانهای جاهل و نادان به ندای من گوش دهید و زیرکی و فهم کسب کنید.
6 Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
به من گوش دهید، زیرا سخنان من گرانبهاست. من حقیقت و راستی را بیان می‌کنم و از ناراستی نفرت دارم.
7 Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
8 Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
سخنان من بر حق است و کسی را گمراه نمی‌کند.
9 Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
سخنان من برای کسی که گوش شنوا داشته باشد واضح و روشن است.
10 Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
تعلیمی که من می‌دهم از طلا و نقره گرانبهاتر است.
11 Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
ارزش من از یاقوت بیشتر است و هیچ چیز را نمی‌توان با من مقایسه کرد.
12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
«من حکمتم و از زیرکی و دانایی و بصیرت برخوردار می‌باشم.
13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
اگر کسی خداترس باشد، از بدی نفرت خواهد داشت. من از غرور و تکبر، رفتار و گفتار نادرست متنفرم.
14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
«منم که هدایت می‌کنم و فهم و بصیرت می‌بخشم. به نیروی من پادشاهان سلطنت می‌کنند و قضات به عدل و انصاف قضاوت می‌نمایند.
15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
تمام رهبران و بزرگان جهان به کمک من حکمرانی می‌کنند.
17 Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
«من کسانی را که مرا دوست دارند، دوست می‌دارم. آنانی که در جستجوی من باشند مرا خواهند یافت.
18 Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
ثروت و حرمت، اموال و موفقیت در اختیار من است.
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
بخشش‌های من از طلای ناب و نقرهٔ خالص بهتر است.
20 Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
راههای من عدل و حق است.
21 katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
ثروت حقیقی از آن کسانی است که مرا دوست دارند، زیرا من خزانه‌های ایشان را پر می‌سازم.
22 Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
«در ابتدا، قبل از آفرینش عالم هستی، خداوند مرا با خود داشت.
23 Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
از ازل، پیش از به وجود آمدن جهان، من شکل گرفتم.
24 Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
قبل از پیدایش اقیانوسها و چشمه‌های پر آب،
25 Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
قبل از آنکه کوهها و تپه‌ها به وجود آیند،
26 Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
قبل از آنکه خدا زمین و صحراها و حتی خاک را بیافریند من به وجود آمدم.
27 Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
«هنگامی که خدا آسمان را استوار ساخت و افق را بر سطح آبها کشید من آنجا بودم.
28 Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
وقتی ابرها را در آسمان گسترانید و چشمه‌ها را از اعماق جاری نمود،
29 Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
وقتی حدود دریاها را تعیین کرد تا آبها از آن تجاوز نکنند و وقتی اساس زمین را بنیاد نهاد،
30 Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
من نزد او معمار بودم. موجب شادی همیشگی او بودم و در حضورش شادی می‌کردم.
31 Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
دنیا و انسانهایی که او آفریده بود مایهٔ خوشی من بودند.
32 Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
«پس ای جوانان به من گوش دهید، زیرا همهٔ کسانی که از دستورهای من پیروی می‌کنند سعادتمندند.
33 Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
به نصیحت من گوش کنید؛ عاقل باشید و نصیحت مرا رد نکنید.
34 Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
خوشا به حال کسی که به من گوش دهد و هر روز جلوی در خانهٔ من انتظار مرا بکشد،
35 Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
زیرا هر که مرا بیابد حیات را یافته و خداوند را خشنود ساخته است؛
36 Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.
اما کسی که مرا از دست بدهد به جانش لطمه می‌زند، آنانی که از من متنفر باشند مرگ را دوست دارند.»

< Mithali 8 >