< Mithali 7 >

1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
ای پسر من سخنان مرا نگاه دار، و اوامر مرانزد خود ذخیره نما.۱
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
اوامر مرا نگاه دار تازنده بمانی، و تعلیم مرا مثل مردمک چشم خویش.۲
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
آنها را بر انگشتهای خود ببند و آنها رابر لوح قلب خود مرقوم دار.۳
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
به حکمت بگو که تو خواهر من هستی و فهم را دوست خویش بخوان۴
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
تا تو را از زن اجنبی نگاه دارد، و از زن غریبی که سخنان تملق‌آمیز می‌گوید.۵
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
زیرا که از دریچه خانه خود نگاه کردم، و ازپشت شبکه خویش.۶
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
در میان جاهلان دیدم، ودر میان جوانان، جوانی ناقص العقل مشاهده نمودم،۷
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
که در کوچه بسوی گوشه او می‌گذشت. و به راه خانه وی می‌رفت،۸
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
در شام در حین زوال روز، در سیاهی شب و در ظلمت غلیظ،۹
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
که اینک زنی به استقبال وی می‌آمد، در لباس زانیه ودر خباثت دل.۱۰
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
زنی یاوه‌گو و سرکش که پایهایش در خانه‌اش قرار نمی گیرد.۱۱
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
گاهی درکوچه‌ها و گاهی در شوارع عام، و نزد هر گوشه‌ای در کمین می‌باشد.۱۲
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
پس او را بگرفت و بوسید وچهره خود را بی‌حیا ساخته، او را گفت:۱۳
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
«نزدمن ذبایح سلامتی است، زیرا که امروز نذرهای خود را وفا نمودم.۱۴
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
از این جهت به استقبال توبیرون آمدم، تا روی تو را به سعی تمام بطلبم وحال تو را یافتم.۱۵
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
بر بستر خود دوشکهاگسترانیده‌ام، با دیباها از کتان مصری.۱۶
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
بسترخود را با مر و عود و سلیخه معطر ساخته‌ام.۱۷
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
بیاتا صبح از عشق سیر شویم، و خویشتن را ازمحبت خرم سازیم.۱۸
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
زیرا صاحبخانه در خانه نیست، و سفر دور رفته است.۱۹
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
کیسه نقره‌ای به‌دست گرفته و تا روز بدر تمام مراجعت نخواهدنمود.»۲۰
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
پس او را از زیادتی سخنانش فریفته کرد، واز تملق لبهایش او را اغوا نمود.۲۱
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
در ساعت ازعقب او مثل گاوی که به سلاخ خانه می‌رود، روانه شد و مانند احمق به زنجیرهای قصاص.۲۲
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
تا تیر به جگرش فرو رود، مثل گنجشکی که به دام می‌شتابد و نمی داند که به خطر جان خود می‌رود.۲۳
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
پس حال‌ای پسران مرا بشنوید، و به سخنان دهانم توجه نمایید.۲۴
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
دل تو به راههایش مایل نشود، و به طریقهایش گمراه مشو،۲۵
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
زیراکه او بسیاری را مجروح‌انداخته است، و جمیع کشتگانش زورآورانند.۲۶
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
خانه او طریق هاویه است و به حجره های موت مودی می‌باشد. (Sheol h7585)۲۷

< Mithali 7 >