< Mithali 7 >

1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Figliuol mio, guarda i miei detti, E riponi appo te i miei comandamenti.
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Guarda i miei comandamenti, e tu viverai; E [guarda] il mio insegnamento, come la pupilla degli occhi tuoi.
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Legateli alle dita, Scrivili in su la tavola del tuo cuore.
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
Di' alla sapienza: Tu [sei] mia sorella; E chiama la prudenza [tua] parente;
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
Acciocchè esse ti guardino dalla donna straniera, Dalla forestiera che parla vezzosamente.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
Perciocchè io riguardava [una volta] per la finestra della mia casa, Per li miei cancelli;
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
E vidi tra gli scempi, [E] scorsi tra i fanciulli, un giovanetto scemo di senno;
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
Il qual passava per la strada, presso al cantone [della casa] d'una tal donna; E camminava traendo alla casa di essa;
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
In su la sera, in sul vespro del dì. In su l'imbrunire ed oscurar della notte;
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
Ed ecco, una donna gli [venne] incontro, In assetto da meretrice, e cauta d'animo;
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
Strepitosa, e sviata; I cui piedi non si fermavano in casa;
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
Essendo ora fuori, or per le piazze; E stando agli agguati presso ad ogni cantone.
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
Ed essa lo prese, e lo baciò, E sfacciatamente gli disse:
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
Io avea sopra me [il voto di] sacrificii da render grazie; Oggi ho pagati i miei voti.
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
Però ti sono uscita incontro, Per cercarti, e ti ho trovato.
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
Io ho acconcio il mio letto con capoletti Di lavoro figurato a cordicelle [di fil] di Egitto.
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
Io ho profumato il mio letto Con mirra, con aloe, e con cinnamomo.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Vieni, inebbriamoci d'amori infino alla mattina, Sollaziamoci in amorosi piaceri.
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
Perciocchè il marito non [è] in casa sua; Egli è andato in viaggio lontano;
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
Egli ha preso in mano un sacchetto di danari; Egli ritornerà a casa sua a nuova luna.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Ella lo piegò con le molte sue lusinghe, E lo sospinse con la dolcezza delle sue labbra.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
[Ed] egli andò dietro a lei subitamente, Come il bue viene al macello, E come i ceppi [son] per gastigamento dello stolto;
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
Come l'uccello si affretta al laccio, Senza sapere che è contro alla vita sua, Finchè la saetta gli trafigga il fegato.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Ora dunque, figliuoli, ascoltatemi, Ed attendete a' detti della mia bocca.
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
Il cuor tuo non dichini alle vie d'una tal donna; Non isviarti ne' suoi sentieri.
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
Perciocchè ella ne ha fatti cader molti uccisi; E pur tutti coloro ch'ella ha morti [eran] possenti.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
La sua casa [è] la via dell'inferno, Che scende a' più interni luoghi della morte. (Sheol h7585)

< Mithali 7 >