< Mithali 7 >
1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Mein Sohn, bewahre meine Warnungen und halte meine Gebote im Gedächtnis fest!
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Bewahre meine Gebote, so wirst du leben, und hüte meine Lehren wie deinen Augapfel!
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Binde sie dir um die Finger, schreibe sie dir auf die Tafel deines Herzens!
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
Sage zur Weisheit: »Du bist meine Schwester«, und nenne die Einsicht deine vertraute Freundin,
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
damit sie dich von dem Eheweibe eines andern fernhält, von der fremden Frau, die glatte Reden führt.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
Denn als ich (einmal) am Fenster meines Hauses durch mein Gitter hinausschaute,
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
da sah ich unter den Unerfahrenen, bemerkte ich unter den jungen Leuten einen unverständigen Jüngling,
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
der auf der Straße hin und her ging, in der Nähe ihrer Ecke, und in der Richtung nach ihrem Hause schritt,
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
in der Dämmerung, am Abend des Tages, tief in der Nacht und in der Finsternis.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
Da kam ihm auf einmal eine Frau entgegen im Anzug einer Lustdirne und mit arglistigem Herzen.
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
Sie ist in leidenschaftlicher Aufregung und wilder Unruhe, ihre Füße halten’s in ihrem Hause nicht aus;
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
bald ist sie auf der Straße, bald auf den freien Plätzen, und neben jeder Ecke lauert sie.
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
Nun hascht sie ihn, küßt ihn und sagt zu ihm mit frecher Miene:
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
»Dankopfer war ich schuldig: heute habe ich meine Gelübde entrichtet;
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
darum bin ich ausgegangen dir entgegen, um dich aufzusuchen, und habe dich nun gefunden.
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
Mit Teppichen habe ich mein Lager hergerichtet, mit bunten Decken von ägyptischem Linnen;
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
ich habe mein Bett mit Myrrhe, Aloe und Zimt besprengt.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Komm, wir wollen uns an der Liebe berauschen, bis zum Morgen in Liebeslust schwelgen!
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
Denn der Mann ist nicht daheim, er ist weithin auf Reisen gegangen;
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
die Geldtasche hat er mit sich genommen: erst am Vollmondstage kommt er wieder heim.«
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Durch ihr eifriges Zureden verführte sie ihn, mit ihrem glatten Geschwätz riß sie ihn fort:
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
betört folgte er ihr wie ein Stier, der zur Schlachtung geht, und wie ein Hirsch, der ins Netz rennt,
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
bis ein Pfeil ihm das Herz durchbohrt; wie ein Vogel dem Fanggarn zueilt, ohne zu ahnen, daß es um sein Leben geht.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Nun denn, mein Sohn, so höre auf mich und achte auf die Mahnungen meines Mundes!
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
Laß dein Herz sich nicht auf ihre Wege locken, verirre dich nicht auf ihre Pfade!
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
denn viele Erschlagene hat sie zu Boden gestreckt, und zahlreich sind die, welche sie alle gemordet hat.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
Ihr Haus bildet den Eingang zur Unterwelt, Wege, die zu den Kammern des Todes hinabführen. (Sheol )